afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
hahahah
unachokula ni kitamu ae.
hahahah loll
tualikane basi acha hivyo hahahah lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
to some extent i agree wit u..
Mohammed he is not a young kid..
He knows wht he is doing..
so if he want to put 10% thats up to him..
if he want to go all the way that is his decision to..
u c wote hatujui Nilham anawaza nini..
Je vipi kama Mohammed hakuweka 100%
and she is the one??
AD, ki umri kweli Mohameed labda kakua simjui vizuri, ila neno moja niseme kwa wote, including mm, HAKUNA ALIYEKUA KIMAPENZI
akasema basi mm najua mapenzi yoote, wote sisi ni WANAFUNZI WA MAPENZI, ndio maana, Nyerere, mandela, JF Kennedy, Newton Isaac, na hata Dr Slaa kipenzi chetu
are some brilliant and international statesmen, ILA MAPENZI YALIWASHINDA NA YALIWAKIMBIZA MCHAMCHAKA, unayajua
ya DIANA NA PRINCE CHARLES, mapenzi yaacha yalivyo, tunajifunza kila kukicha, ukipuuzia utakwenda na maji, whoever you are,
King Solomon alioa hadi wanawake 700 ila hakuridhika, hadi akzaa tena na Queen Sheba wa Ethiopia, imagine, kwa mapenzi hakuna MKUBWA, kiumri wapo wakubwa, umenielewa AD, mweleze MIchelle, haya etc ni
Mohammed vp? mbona kimya ngoja nikimbie,naona umenyamaza, i did'n't stop you to date Nilham ila nimesema Kila la kheri,
be cautiousView attachment 21800see u
nimekuelewa fika my dear..
sawa mapenzi hayazeeki na mapenzi hayana umri...
hao wote uliowataja hapo ni watu tu kama sisi
na wanamapungufu yao..
wengine hapo waliangukia mambo ya mapenzi ajili ya publicity....
lakini uzuri wa mapenzi ni upofu hakuna ajuae nini kina kuja kesho..
kwa hiyo mimi siwezi simama hapa niakaangalia mfano wowote kati ya
hiyo uliyo nitumia..
sana sana ntaangalia weakness zangu na strength zangu juu ya swala hili la mapenzi..
na ntamtafuta mtu ambaye ana simila na zangu....
na bado tutatikiwa tu compromise so many things ...
kwa hiyo ikija kwenye swala la mapenzi kila mtu ni individual
na huwezi angalia mfano wa watu kama hao....
kama kua mtu yuko karibu yako na swala hili la mapenzi lika mwangusha basi..
u can learn from there mistake...
na hatuwezi kuacha ku date au vitu kama hivyo
kwa sababu tunaogopa..
kwani ku feli ndo mwanzo wa kujifunza my dear
tupo pamoja, Umri si kujua mapenzi
ila wote tunajifunza, na kuwa genius wa mambo makubwa still unaweza kuwa failure kwa mapenzi
Good job AD,
aaaahh! i miss u already
karibu mkunazini!
am lovin' it more when ya nasty.....l.o.l
you are tooo damn goood!
love it when ya angry!
We dada Nilham nakuopmba tafadhali uamue moja kati ya Hashycool na Med manake hawachelewi kushikana mashati. Na unapoendelea kukaa kimya unazidi kuwa umiza hasa Shossi. Sema kitu watulie!
Kama uko tayari then go for it, thats my advice na wewe Nilham hebu msikize mwenzio jamani ee. Kasha sema maneno yote jamani. Fanya fanya mtima wa watu unaumia na wewe ndo sababu. "Nakumbuka wimbo wa Subalaheri mpenzi waonaje hali yako ....." plus "Mahaba ya dhati" sikiza mwenyewe hapa Mahaba Ya Dhati - Nasma Khamis.
Nilhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam ahibak moooot ya hayati........ 🙂
Kweli JF kuna kila fani haya nilham hebu msikilize mwenzio
. . . . i can see clearly now :coffee:
clearly what cpu hizo ndio dua zako nini abuy lol.........