afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
mwenzangu ?????
Afadhali hata weye Muhusika umerudi mwaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenzangu ?????
Nikarudi jioni ile nataka kusoma dua tena, nashangaa haupo namuona hashy peke yake, mara tena naona kuna mtu anakutaka live live na anapigiwa debe la kufa mtu na mashosti zako AD na Michelle, sasa hapo nitasomaje dua my dia???
Afadhali hata weye Muhusika umerudi mwaya
Ooh! I have already apologized for dat my dia, yaan wakat naandaa dua Dowans wakachakachua mtambo
heheheh we isome tuu hamna tabu allah ataiweka kuwa maqbul kama ikiwa ya kher.........
Unaniumiza habibty nafarijika uniitapoivuga?????
Unaniumiza habibty nafarijika uniitapo
Huwezi ona imani ukanitoa shakani?
Nina mapenzi ya dhati yan'jaa moyoni
Nakupenda kitambo nilichelea kunena hadharani
Kipi nikufanyie unitulize mtima
mmmmmh mbona wanitisha nimekuja fanya hitimisho wardi nishalichambua na jibu limetoka niiii...............au nipm tuongee kwanza hapa pana kuku wengi lol..........
:coffee::coffee::coffee::coffee::coffee:Ooohhh dear hembu twende chumbani kwanza
Tuko busy no distractions please:coffee::coffee::coffee::coffee::coffee:
OkeyyyyyyyyyMkinionea Nilham mwambie namtafuta sana
mmmmmh mbona wanitisha nimekuja fanya hitimisho wardi nishalichambua na jibu limetoka niiii...............au nipm tuongee kwanza hapa pana kuku wengi lol..........
AD, ki umri kweli Mohameed labda kakua simjui vizuri, ila neno moja niseme kwa wote, including mm, HAKUNA ALIYEKUA KIMAPENZI
akasema basi mm najua mapenzi yoote, wote sisi ni WANAFUNZI WA MAPENZI, ndio maana, Nyerere, mandela, JF Kennedy, Newton Isaac, na hata Dr Slaa kipenzi chetu
are some brilliant and international statesmen, ILA MAPENZI YALIWASHINDA NA YALIWAKIMBIZA MCHAMCHAKA, unayajua
ya DIANA NA PRINCE CHARLES, mapenzi yaacha yalivyo, tunajifunza kila kukicha, ukipuuzia utakwenda na maji, whoever you are,
King Solomon alioa hadi wanawake 700 ila hakuridhika, hadi akazaa tena na Queen Sheba wa Ethiopia, imagine, kwa mapenzi hakuna MKUBWA, kiumri wapo wakubwa, ukipandwa na HAMU UNAKUWA SI WW TENA, nyege usicheze nazo,
utasema usiyoyajua, umenielewa AD, mweleze MIchelle, haya etc ni
SALUTE MR PRESIDENT: Nimekusoma mkuu na nakuabliana na wewe kabisa......vipi leo naona uko nasi sana?mimi nifuraha yangu kwa kuwa umeleta maoni na taswira ya tofauti ni ile tu kwamba leo kuna kuongea kwa adabu kwa kuwa upo hapa.......nakushukuru sana kwa kuja naomba by the time unaridi state house tuwe tumemuokoa huyu kijana mwenye mapenzi mazito........asante mkuu,itifaki imezingatiwa
mkuukasome thread iliyoandikwa hii ndo hofu yangu iliyonisababishia kuaaga by NilhamShukrani sana kwa kampeni nzito sina cha kukulipa zaidi ya dua na kukuombea afya na mafanikio katika maisha yako Allahuma Amin dua iwe maqbul. Naona bibie ameshamaliza kuchambua maua na jibu analo kaliweka kiporo. Nimemuomba Mungu kama ana kheri na mie anijaalie awe mama wa watoto wangu. Nina pirika za kumpokea mgeni kutoka Mwanza anaingia leo jamvini. Alinipigia simu na kusema amekuwa akisoma michango yangu jamvini mara ya mwisho nilikuwa nae Dodoma Sec Nov 1999
Shukrani sana kwa kampeni nzito sina cha kukulipa zaidi ya dua na kukuombea afya na mafanikio katika maisha yako Allahuma Amin dua iwe maqbul. Naona bibie ameshamaliza kuchambua maua na jibu analo kaliweka kiporo. Nimemuomba Mungu kama ana kheri na mie anijaalie awe mama wa watoto wangu. Nina pirika za kumpokea mgeni kutoka Mwanza anaingia leo jamvini. Alinipigia simu na kusema amekuwa akisoma michango yangu jamvini mara ya mwisho nilikuwa nae Dodoma Sec Nov 1999