Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

Cha kushangaza utumishi wanatambua ATEC II ni sawa na diploma na hawana tatizo kabisa.inapofika kwenye Intermidiate sijui wana changanyikiwa nini?
Wataenda kutuelezea mahakamani wapi wanachanganyikiwa.
 
Kuna:-
  • Academic qualification
  • Professional qualification
We unakosa academic qualification

Kama una muda wa kupoteza na hela, pambana nao. Ila kwa ushauri wangu, nenda katafute 'degree'
 
Kuna:-
  • Academic qualification
  • Professional qualification
We unakosa academic qualification

Kama una muda wa kupoteza na hela, pambana nao. Ila kwa ushauri wangu, nenda katafute 'degree'
Acha kuongea kwa kukaririshwa.

Unaongea tu kwa sababu hizo terminology umezisikia mahali. Lazima uelewe unaposema professional qualification kuna nini ndani yake.

Labda kwa kukusaidia tu professional qualification ndani yake kuna hiyo academic qualification.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba professionals wana uelewa mpana kuliko hao wenye academic qualification.
 
Huo ndio ukweli, asipoteze muda
 
Hili ndio tatizo la mfumo wa elimu Tz. Kila mhitimu lengo lake la kwanza ni kuajiriwa.

Mfumo wa Elimu haumwandai mhitimu kuweza kujitegemea.
Nchi Gani hawasomi kuajiriwa?
 
Siyo wew peke ako hata hao waliosoma banking and finance nao wanalalamika sna kuhusu Hilo

Ila pia nimekuja kuona umuhimu wa kusoma aise degree mnk nilikuja kukutana na vijaana waliona CPA billa kuwa na degree nilichogundua ni kwmab jama bado hawako kiprofessinal Zaid unamkuta mtu ajui hata kuandiaka ripoti kusite kitabu kureference kitabu hawajui

Nilikutana nao wakt nasoma post graduate

Ndio nikagundua jamaa hawajui vitu Zaid ya ile CPA tu ila research methodology hajui kbsa ,kuandiaka assignments tabu tupu alfu Ni wabishi sna mpk leo hawajalamba ajira za maana kwa vile Hana cheti

Inakuaje mtu uanfeli fom 4 then unakuja una unaunga unga huko mtaani alfu gafla wew Ni muasibu bila kuwa na credentials zinazotakiwa kuwa muasibu

Degree Ni muhimu sna then soma CPA Yako na muache kuringa huku unajita CPA t huku huwezi chambua hoja na ku analysis vitu ki professional wise
 
Acha kuongea kitu usichokijua. Huko chuoni kuna kipi ambacho mwenye cpa hajakisoma?

Kwa hiyo huo utaratibu waliuanzisha kwa faida ya nani? Anyway mahakama itatoa direction.
 
Cha kushangaza utumishi wanatambua ATEC II ni sawa na diploma na hawana tatizo kabisa.inapofika kwenye Intermidiate sijui wana changanyikiwa nini?
Nchi ina shida sana, tumekaririshwa vitu vingi ambavyo hatuvielewi.

Mifumo ya elimu imekaa kwa kukomoana bila tija yoyote, bora ingekuwa tunakomoana kwenye elimu alafu mwisho wa siku tunaiona faida yake... Lakini hamna faida yoyote!
 
Nchi ina shida sana, tumekaririshwa vitu vingi ambavyo hatuvielewi.

Mifumo ya elimu imekaa kwa kukomoana bila tija yoyote, bora ingekuwa tunakomoana kwenye elimu alafu mwisho wa siku tunaiona faida yake... Lakini hamna faida yoyote!
Mambo ya kusikitisha sana. Hii inchi ni ngumu sana.
 
Mkuu wewe waburuze tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…