Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

Hahahaa watu wa CPA bhanaa

Kasome degree bro, CPA ni Professional Qualification kuna wazembe kibao tu nawajua wana CPA na wanambwela tu sababu hawana degree.

Hamna chuo kinatoa CPA, so bila degree ni nothing, halafu acheni mbwembwe na CPA zenu huku field mambo ni tofauti sana.
 
Hahahaa watu wa CPA bhanaa

Kasome degree bro, CPA ni Professional Qualification kuna wazembe kibao tu nawajua wana CPA na wanambwela tu sababu hawana degree.

Hamna chuo kinatoa CPA, so bila degree ni nothing, halafu acheni mbwembwe na CPA zenu huku field mambo ni tofauti

Hahahaa watu wa CPA bhanaa

Kasome degree bro, CPA ni Professional Qualification kuna wazembe kibao tu nawajua wana CPA na wanambwela tu sababu hawana degree.

Hamna chuo kinatoa CPA, so bila degree ni nothing, halafu acheni mbwembwe na CPA zenu huku field mambo ni tofauti sana.
Mwasibu bila CPA ni data clerk ,degree muhimu CPA lazima , angalia hili neno "certified Public Accountant "kama hauna hii kitu kasome acha ujinga .
 
Una hoja ya Msingi sana. Kuna haja ya Professional Bodies kukaa pamoja na Serikali kuoanisha Qualifications wanazozitoa na Mfumo wa Elimu unatambulika na serikali.

Kuna kesi iliwahi kutokea kwenye Taasisi moja Jamaa alikuwa na diploma akafanya mitihani ya Bodi akapata CPA. Alipomaliza akaomba kusoma Post graduate kwa kutumia CPA akapata na kumaliza.

Aliporudi kwa mwajiri kumuonesha cheti cha Post graduate ili abadlishiwe muundo wakamkatalia kwa kuwa hana cheti cha degree.

Swali likawa Chuo kilimruhusi vipi asome Post graduate kama hakuwa na sifa?

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
hayo ndio mazaga zaga
 
Kuna:-
  • Academic qualification
  • Professional qualification
We unakosa academic qualification

Kama una muda wa kupoteza na hela, pambana nao. Ila kwa ushauri wangu, nenda katafute 'degree'
Fuata ushauri wa huyu mtu... usipoteze muda wako kufungulia serikali mashitaka... utapoteza wewe... ulishaona wapi haki ikipatikana Tanzania?
 
Siyo wew peke ako hata hao waliosoma banking and finance nao wanalalamika sna kuhusu Hilo

Ila pia nimekuja kuona umuhimu wa kusoma aise degree mnk nilikuja kukutana na vijaana waliona CPA billa kuwa na degree nilichogundua ni kwmab jama bado hawako kiprofessinal Zaid unamkuta mtu ajui hata kuandiaka ripoti kusite kitabu kureference kitabu hawajui

Nilikutana nao wakt nasoma post graduate

Ndio nikagundua jamaa hawajui vitu Zaid ya ile CPA tu ila research methodology hajui kbsa ,kuandiaka assignments tabu tupu alfu Ni wabishi sna mpk leo hawajalamba ajira za maana kwa vile Hana cheti

Inakuaje mtu uanfeli fom 4 then unakuja una unaunga unga huko mtaani alfu gafla wew Ni muasibu bila kuwa na credentials zinazotakiwa kuwa muasibu

Degree Ni muhimu sna then soma CPA Yako na muache kuringa huku unajita CPA t huku huwezi chambua hoja na ku analysis vitu ki professional wise
CPA zenyewe hizi wanafaulu kwa kupata C C... Hata mimi nikikomaa zile C siwez kosa... degree ni kitu muhimu wewe mara mia ya hiyo cpa
 
Ili ujue kuna tatizo la mfumo wa CPA na mfumo mwingine wa elimu, jiulize

1. Je ukiwa na CPA tu bila degree, unaweza kudahiliwa kwenye masomo ya juu, utaanza kusoma masters degree ama post graduate diploma?

2. Kwa nini uanzie Post graduate diploma badala ya kwenda Masters degree moja kwa moja sawa na ambao wana degree na CPA ama wana degree tu bila CPA?

3. Kama utaanzia Post graduate diploma na kisha usome tena Masters degree basi ujue huo mfumo una mapungufu.

4. Nchi kama Marekani, CPA huwezi kufanya kijanja janja kama huku kwetu, lazima uwe na elimu sawa na Masters degree ya hapa kwetu ndio ufanye CPA.

5. Kasome degree acha short cuts, kua na degree bila CPA kunakuweka kwenye nafasi nzuri na fursa nyingi zaidi za maisha kuliko kua na CPA peke yake.

Ahsante..
 
Back
Top Bottom