Nakusudia kuitisha maadamano makubwa nchi nzima ili kupinga mgao wa umeme ambao ni wa kutengenezwa ili kuumiza wananchi!!

Sahihi kabisa....

Suluhisho lilitafutwa kwa kipindi hicho ila iko mitambo mikubwa bado nayo ni chakavu....

Baada ya miezi 6....
 
Siungi mkono ukatikaji wa umeme..
Ila maandamano sio mazuri yatatumiwa vibaya na wale wote wasio kua na nia njema na taifa LETU kutupiga gepu.....
 
Nyie mtaanza asubui mpk jioni...
Wengine tutaanza usiku!
Usiku...
Usiku wa manane
 
Unaweza kuwa na points ila acha kuwa brainwashed kuwa mgao ni wa kutengeneza

Shirikisha akili yako ukiambiwa kitu. Hakuna mtu anaweza tengeneza mgao wa umeme nchi nzima.
Hili ttz la mgao lilikuwepo enzi za Magufuli?
 
Nchi ya kisenge hii, hayo maandamano hayatakamilika sisi wafu ni wafu, hatusikii maumivu kabisa, linalotokea si ni hewala tu,inasikitisha.
 
HUNA AKILI TIMAMU
 
Unaweza kujiuliza wazee wa zamani waliwezaje kuanza harakati za kudai Uhuru hadi wakafanikiwa?

Courage walipata wapi?

Uthubutu walipata wapi?

Ikumbukwe haikuwa rahisi tena kwa Mamlaka za Mzungu?!

Lakini waliweza [emoji123]

Wasomi wakati ule walikuwa wachache wa kuhesabika.

Leo hii wasomi wengi ingawa wengine fake.

Exposure Kama zote.

Technolojia iko juu ,

Lakini ndio imekuwa kinyume kabisa ! [emoji848][emoji848]

Tatizo ni nini?
 
Wanaume wakula chips chai rojo na mahindi ya kuchoma kwa chumvi hawawezi kuwa na uthubutu wa mambo mazito [emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…