Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
...baada ya miezi 6..Taja kitakacholeta uemme
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pengine yeye ndio Mke mwenyewe, tumshauri na Mumewe awepo
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Siungi mkono ukatikaji wa umeme..Jamani naomba mniunge mkono biashara yangu inakufa tra wanataka Kodi yao mwenye frem anataka Kodi yake nayaona maisha yangu yanakufa hivihivi.
Kilichonikatisha tamaa ni kuona serikali imerelax kabisa haina hata wasiwasi. Wanakuja na majibu rahisi mno, eti tusubiri miezi 6!!!
Naomba watanzania kwa umoja wetu tuungane bila kujali vyama vyetu maadamu unaumizwa na suala la kukatikakatika Kwa umeme, tuiambie serikali kwa njia ya maandamano makubwa yasiyo na kikomo mpaka iwashe umeme.
Haiwezekani watu tuliowaajiri watutatulie KERO zetu watupuuze namna hii.
Tuungane kusema noooo!!
Tunataka umeme au ondokeni ofisini.
[emoji1787][emoji1787]Duh kabla ht hatujaona maandamano ya Mdude wewe unaleta mengine tena
Anza kuishtaki....Tuishtaki TANESCO. imepewa monopoly kwenye umeme na imeshindwa kazi. Inyang'anywe monopoly na kuvunjwa kabisa.
Kongole mzalendo wa Tanzania [emoji106][emoji109][emoji120]Siungi mkono ukatikaji wa umeme..
Ila maandamano sio mazuri yatatumiwa vibaya na wale wote wasio kua na nia njema na taifa LETU kutupiga gepu.....
Huko ndiko kujiongeza....[emoji109]Achia frem,uza onĺine
Unataka afanye tax evasionAchia frem,uza onĺine
Hili ttz la mgao lilikuwepo enzi za Magufuli?Unaweza kuwa na points ila acha kuwa brainwashed kuwa mgao ni wa kutengeneza
Shirikisha akili yako ukiambiwa kitu. Hakuna mtu anaweza tengeneza mgao wa umeme nchi nzima.
HUNA AKILI TIMAMUWalipokuwa wanafanya service ikawa inawalazimu kuzima baadhi ya mitambo ili kuifanyia service wananchi tukalalamika sababu ilipelekea umeme kupungua baada ya uzimwaji wa hizo mashine, tukapata kiongozi mmoja anaecheza na jukwaa akaamuru hakuna kufanya service ili umeme usikatike na ikawa hivyo.
Sasa mitambo bila service nadhani hata wewe unajua kinachoenda kutokea. Imeharibika zaidi na inataka service kubwa zaidi bahati mbaya kiongozi wa sasa haamini kwenye kucheza na majukwaa kaamua kuruhusu service kunusuru mitambo ni lazima kuwe na upungufu wa umeme.
Tatizo la kimsingi ni kuwa tunazalisha umeme mdogo kuliko matumizi yetu na bahati mbaya yanaongezeka kila siku. Ingalikuwa tuna vyanzo vingi vya kuzalisha umeme basi hata kuzimwa kwa mtambo mmoja au 2 ili ifanyiwe service kusingekuwa na impact kubwa Sana kwenye upatikanaji wa umeme.
Kwa Hali ilivyo sasa hata umlete Malaika au Nani sijui awe MD wa Tanesco tutaendelea kupata mgao. Subiri masika Ije mabwawa yajae kuwe na umeme mwingi maisha yaendelee
Umeandika upumbavuCheck comment number 28 hapo juu mkuu
🤣🤣Pole mkuu......hapa unaongea na WAFU.
Hawasikii wala hawahisi maumivu yoyote!
Pale Mirembe watakubakiza wewe na yeye atapewa "discharge"[emoji1787]HUNA AKILI TIMAMU