Nakusudia kupost CAF na FIFA yote yaliyosemwa na Mayele kuhusu majini

Nakusudia kupost CAF na FIFA yote yaliyosemwa na Mayele kuhusu majini

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nyie si mnajifanya wajuaji, mlianza kwenda kutoa misaada kwa yatima mkawa mnashinda kila mechi, watu wakawashtukia ss hv mnawanywesha watu supu, hakuna upendo huo wa kunywesha watu supu, ni majini tu.Ukinywa supu ukiingia kwenye 18 zao jini kakunyonya.

Sasa aliyosema Mayele hayatoishia humu, tunapeleka kwenye official page zote za vyama vya soka hapa duniani ikiwemo CAF na FIFA.

Mmeharibu sana brand ya mnyama nyie, ngoja na sisi tumwage mboga
 
Nyie si mnajifanya wajuaji, mlianza kwenda kutoa misaada kwa yatima mkawa mnashinda kila mechi, watu wakawashtukia ss hv mnawanywesha watu supu, hakuna upendo huo wa kunywesha watu supu, ni majini tu.Ukinywa supu ukiingia kwenye 18 zao jini kakunyonya.

Sasa aliyosema Mayele hayatoishia humu, tunapeleka kwenye official page zote za vyama vya soka hapa duniani ikiwemo CAF na FIFA.

Mmeharibu sana brand ya mnyama nyie, ngoja na sisi tumwage mboga
Unawalàumu mashabiki wa Simba wanaomkataa Saidoo kwamba ni Mbumbumbu kumbe wewe ndo Mwalimu wao?
 
20240210_124749.jpg
 
Nyie si mnajifanya wajuaji, mlianza kwenda kutoa misaada kwa yatima mkawa mnashinda kila mechi, watu wakawashtukia ss hv mnawanywesha watu supu, hakuna upendo huo wa kunywesha watu supu, ni majini tu.Ukinywa supu ukiingia kwenye 18 zao jini kakunyonya.

Sasa aliyosema Mayele hayatoishia humu, tunapeleka kwenye official page zote za vyama vya soka hapa duniani ikiwemo CAF na FIFA.

Mmeharibu sana brand ya mnyama nyie, ngoja na sisi tumwage mboga
we ni mbumbumbu
 
Nyie si mnajifanya wajuaji, mlianza kwenda kutoa misaada kwa yatima mkawa mnashinda kila mechi, watu wakawashtukia ss hv mnawanywesha watu supu, hakuna upendo huo wa kunywesha watu supu, ni majini tu.Ukinywa supu ukiingia kwenye 18 zao jini kakunyonya.

Sasa aliyosema Mayele hayatoishia humu, tunapeleka kwenye official page zote za vyama vya soka hapa duniani ikiwemo CAF na FIFA.

Mmeharibu sana brand ya mnyama nyie, ngoja na sisi tumwage mboga
Wewe na Mayele mnaweza mkathibitisha kwa CAF juu ya uwepo wa hayo majini?
 
Makolo FC Bado Hamjasema Vizuri Mtasema.

Kwa Mara Nyingine Tena Dar Young Africans Champion 2023/2024.


Endeleeni Na Propaganda Na Kushindwa Hata Kufanya Mkutano Wenu Wa Wanachama Na Kuishia Kutukanana.
 
Bahati nzuri mbumbumbu Fc ndio klabu inayotambulika kwa ushirikina barani Afrika.
CAF wamewaekea katika kundi la vilabu vyenyekutiliwa mashaka wakiwa wanacheza nyumbani au Ugenini.
Ni klabu inayo ongoza kupelekewa malalamiko ya ushirikina na figisu pindi unapo kutana nayo.
 
Al ahly akija kucheza huku anajihami sababu ya mambo waliyofanyiwa na makolo
 
Mental case hii..achana na caf tu peleka mpaka cuf ya lipumba na UN usisahau kuambatanisha na picha za majini manne yaliyokua yanafunga magoli na kutetema.
 
Back
Top Bottom