Nakutakia usiku mwema bint mrembo Mzigua90

Nakutakia usiku mwema bint mrembo Mzigua90

hahaa ngoja kwanza wakupindue kama lile bando la voda ndio utajua kuwa niraha au vipi !?

hizo hips utaishia kuzishika usingizini tu ""


halafu kiranga anakuita ......
Kiranga nahisi atakua ndio yule jamaa nimekwambia pale, asee yule mm sijisumbuagi hata kulumbana nae kwa hoja,

Mwisho wa siku nitamwambia twende tukatulie sehemu tule na kunywa tuangalie dunia inaendaje lkn sio kubishana nae..HUWEZI.
 
Asee kweli maisha si mchezo...yani unatoka kazin kabla hata hujakaa unaachwa na mamaa [emoji134][emoji134][emoji134][emoji45][emoji45][emoji45]

Naomba nitumie hata wimbo mmoja wa Adele bas unifariji usiku huu mm [emoji17][emoji17][emoji17][emoji124][emoji124][emoji124]
Wewe ndo umetaka kuniacha. Unanileteaje mwanamke mwingine kwa mfano?
 
Si ajabu ww pia kunguru [emoji23][emoji28][emoji23]
Nakuona tuu[emoji20][emoji20][emoji20]
 
Kiranga nahisi atakua ndio yule jamaa nimekwambia pale, asee yule mm sijisumbuagi hata kulumbana nae kwa hoja,

Mwisho wa siku nitamwambia twende tukatulie sehemu tule na kunywa tuangalie dunia inaendaje lkn sio kubishana nae..HUWEZI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
lol ..mmeanza kushindwana hpa hpa kwenye jukwaa ..hahaaa
vita ya panzi hii ..ngoja niwaite kunguru wakae Tayari !
Nimeshindwa shemeji. Mi nimeacha kila mtu kwa ajili yake halafu eti hapa anasema ana mke mwenzangu. Khaaah. Dharau hizi
 
Nyie endeleni kudanganyika na DP ya Mzigua90 mhisi ni binti mdogo kumbe ukute ni mbibi aliye staafu utumishi wa umma miaka 10 iliyopita[emoji85]
 
Back
Top Bottom