Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Mamaa magazeti. Unaandika gazeti refu halafu lote limejaa points za uhakika. Hiki ni kipaji,you should do something about it. Maybe an Instagram page of your own....called 'A PIECE OF ADVICE FROM HEAVEN SENT'
Think about it.
Boy dad; this means a lot. Hakika; nitalifanyia kazi. Thank you🙏🙏
 
Ndagha Fijo ghwangu...kyala andule Papo indumbula jikali jikahobhokela😪
Nkamu, angalia na usikilize moyo wako unasema nini juu ya hilo na mwisho wa siku wewe mwenyewe ndiye utakayekabiliana na matokeo yake kulingana na maamuzi yako na hakuna mwingine.

Lingine nkamu, watoto uwe pamoja nao, wasiwe mbali nawe.

Narudia tena kukushauri, usifanye haraka kuhusu maamuzi yako, Mungu amekupa watoto hao ndio zawadi yako na uwalee kwa karibu sana.
 
Nkamu, angalia na usikilize moyo wako unasema nini juu ya hilo na mwisho wa siku wewe mwenyewe ndiye utakayekabiliana na matokeo yake kulingana na maamuzi yako na hakuna mwingine.

Lingine nkamu, watoto uwe pamoja nao, wasiwe mbali nawe.

Narudia tena kukushauri, usifanye haraka kuhusu maamuzi yako, Mungu amekupa watoto hao ndio zawadi yako na uwalee kwa karibu sana.
Ubarikiwe sana nkamu...nimeshafanya maamuzi aisee 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Back
Top Bottom