Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boy dad; this means a lot. Hakika; nitalifanyia kazi. Thank you🙏🙏Mamaa magazeti. Unaandika gazeti refu halafu lote limejaa points za uhakika. Hiki ni kipaji,you should do something about it. Maybe an Instagram page of your own....called 'A PIECE OF ADVICE FROM HEAVEN SENT'
Think about it.
Nkamu, angalia na usikilize moyo wako unasema nini juu ya hilo na mwisho wa siku wewe mwenyewe ndiye utakayekabiliana na matokeo yake kulingana na maamuzi yako na hakuna mwingine.Ndagha Fijo ghwangu...kyala andule Papo indumbula jikali jikahobhokela😪
Ubarikiwe sana nkamu...nimeshafanya maamuzi aisee 🙏🏽🙏🏽🙏🏽Nkamu, angalia na usikilize moyo wako unasema nini juu ya hilo na mwisho wa siku wewe mwenyewe ndiye utakayekabiliana na matokeo yake kulingana na maamuzi yako na hakuna mwingine.
Lingine nkamu, watoto uwe pamoja nao, wasiwe mbali nawe.
Narudia tena kukushauri, usifanye haraka kuhusu maamuzi yako, Mungu amekupa watoto hao ndio zawadi yako na uwalee kwa karibu sana.
Roho wa Mungu akuongoze katika hilo na isije ikawa katika hali ya kimwili.Ubarikiwe sana nkamu...nimeshafanya maamuzi aisee 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Huu hapa Cc ephen_