Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Nakuzimikia sana MBITIYAZA

nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !

nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!

popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !

tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!

pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli


NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema

[emoji15] [emoji15] [emoji2] [emoji1] [emoji38] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

I can't...LOL!
 
MBITIYAZA najiandaa kukutafuta next month tukaliamshe dude achana na ma looser wewe unastahili vitu first class
 
Niletee vifuatavyo baby;
zabibu,wine(nikuchomee nyama ),pure heaven,apples,asali,keki, eet sum more,blueband kubwa , icing sugar(nikupikie madikodiko ),sundrop,sukari,nido kubwa ,spices za chai,
na kiatu blak no 39 baby ! mid heel
trauza kiuno 34, asante jaman ! kweli OMBENI MTAPEWA!


😀😀😀 Sikuwezi!, hivi vyote ni juu ya fee na shughuli ya binti yetu..
 
nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !

nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!

popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !

tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!

pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli


NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema
Khaa haahahahahha
 
Back
Top Bottom