Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah fala ww et mchawi bando tu na confidence...Ila ni kweli man, watoto wapo humu sema wanajitiaga kukaza wanaoneana aibu yani!Daaah, kumbe ki(masihara)² humu ndani unaweza ukajing'olea goma kibwereree kama una nawa, mchawi bando tu na confidence ya kufungUa uzi na kuruka nao kisamasoti. Ngoja ninywe puturuu namimi nijilipue japo kwa mkuu mmoja nijing'olee goma kimdebwedo
Sent using Jamii Forums mobile app