Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Hahahah fala ww et mchawi bando tu na confidence...Ila ni kweli man, watoto wapo humu sema wanajitiaga kukaza wanaoneana aibu yani!
 
Ha ha haaaa nilivyokupania, hiyo siku pampula wako atakushangaa maana utakuwa pampula kuliko yeye teh


hhahahha ! uwiii ! majuz niijhitoa ufaham nikaenda hotel nikakuta wanapiga miziki!kwakweli nikaweka shida chini nikanyanyua mikono juu ! nikasema jaman liwalo na liwe nimechoka ! weeeeeee mara paaaaaaap huyu hapa !jicho katoa hatar km katuni ya baba ubaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…