Hahahah fala ww et mchawi bando tu na confidence...Ila ni kweli man, watoto wapo humu sema wanajitiaga kukaza wanaoneana aibu yani!Daaah, kumbe ki(masihara)² humu ndani unaweza ukajing'olea goma kibwereree kama una nawa, mchawi bando tu na confidence ya kufungUa uzi na kuruka nao kisamasoti. Ngoja ninywe puturuu namimi nijilipue japo kwa mkuu mmoja nijing'olee goma kimdebwedo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila hela nitakupeleka wapi mkuu? Jina lako limekaa kipesapesa, litendee hakihahaaa,aiseeee.kwa hyo hata wewe utanikataa kwa kuwa sina hela?
Usiwaze mtotoBila hela nitakupeleka wapi mkuu? Jina lako limekaa kipesapesa, litendee haki
Hahah we ngoja mkuu uone mbwembwe zangu, sijifii ila a.k.a yangu ni the bermuda triangle, yaan nikimteka mtu anapotea mazima hamtamsikia tena asilani.Hahahah fala ww et mchawi bando tu na confidence...Ila ni kweli man, watoto wapo humu sema wanajitiaga kukaza wanaoneana aibu yani!
Kijana acha woga, we vunja kibubu chako hicho cha vichenji vyako vya mapensheni ujing'olee kisu hicho. Watoto wengine wanareflect id zao, unamjua demi moore wewe? Tolekaaa!!Usiwaze mtoto
hahahaa,ngoja nipambane naye mkuuKijana acha woga, we vunja kibubu chako hicho cha vichenji vyako vya mapensheni ujing'olee kisu hicho. Watoto wengine wanareflect id zao, unamjua demi moore wewe? Tolekaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akimwagia tunagawana. Worry outmoyo unaungua hapa dah !haya bas nenda ! mie huyo nikija muona nitambana tu!tutazimiminia wote mdomon lol
Hebu mueleze, huyu nae sijui billgate wa wapiKijana acha woga, we vunja kibubu chako hicho cha vichenji vyako vya mapensheni ujing'olee kisu hicho. Watoto wengine wanareflect id zao, unamjua demi moore wewe? Tolekaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaha...haterz will say mnatafuta kikihahaha anza wewe mume
Ma haterz watasema eti unatumia ndeleBaby achana nao hao hawajui kama jina lako ni jina la ushindi
Cc baby mbiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaa nilivyokupania, hiyo siku pampula wako atakushangaa maana utakuwa pampula kuliko yeye teh