[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chiz wewe sikuwezi. Anakupenda bana hataki aibiwe. We jiandae kabisa maana mi mgeni wewe mwenyeji.. unionyeshe jijihhahahha ! uwiii ! majuz niijhitoa ufaham nikaenda hotel nikakuta wanapiga miziki!kwakweli nikaweka shida chini nikanyanyua mikono juu ! nikasema jaman liwalo na liwe nimechoka ! weeeeeee mara paaaaaaap huyu hapa !jicho katoa hatar km katuni ya baba ubaya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chiz wewe sikuwezi. Anakupenda bana hataki aibiwe. We jiandae kabisa maana mi mgeni wewe mwenyeji.. unionyeshe jiji
Haya kuleni nchi mie ngoja nikaamze mashambulizi inbox kwa mtu fidengehahahha !jaman ! mtuwache
Hahahaaha...haterz will say mnatafuta kiki
Haya kuleni nchi mie ngoja nikaamze mashambulizi inbox kwa mtu fidenge
Huyu wa kalunde sio bureHebu mueleze, huyu nae sijui billgate wa wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani make sure napata mwaliko
Aiiii jamani eti bwawani..njoo mama njoo!tuweke heshima mjini! njoo na beach wear!teh kule bwawan its a must
Unga tela best...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani make sure napata mwaliko
Hahahahahaha shem unataka nipigwe chinAnakuzimikia kinoma. Fursa hiyo, mpindue nanyupu
God will make a way, ipo siku isiyokuwa na jina. Aiseeh sitaki kabisa nafanya imagination sielewi sielewi.yaan Ney mie mpk leo huwa nacheka !ila wewe kichwa chako jaman !haha bora mie khaa ! nahakika nitaja kutana na ww aiseee!muda ndo mwamuz !sijui itakuwaje jaman!
Aiiii jamani eti bwawani..
shoga nina hamu ya starehe zote za mjini, kurerebuka, kupampula na kila kitu. Mwenzio sikumbuki lini nimecheza mziki basi nikifanya majaribio mwenyewe najichekaaa maana viungi vimekaza hakuna kinachotingishika
Mkuu had uwe una nyota inayowaka kama yang vinginevyo utaambulia patupuDaaah, kumbe ki(masihara)² humu ndani unaweza ukajing'olea goma kibwereree kama una nawa, mchawi bando tu na confidence ya kufungUa uzi na kuruka nao kisamasoti. Ngoja ninywe puturuu namimi nijilipue japo kwa mkuu mmoja nijing'olee goma kimdebwedo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan nitakuja bila viatu kwa jinsi ntakavyokuwa na haraka [emoji6]Unga tela best...
God will make a way, ipo siku isiyokuwa na jina. Aiseeh sitaki kabisa nafanya imagination sielewi sielewi.
Sie bado vigori buanna, tule raha mwisho mwisho maana uzee haupo mbali.hahahahhahhahahhahhahhhaahahhhaah ! hebu usiniwashe kichwa yangu ! mie kila kitu namiss jaman !khaa! yaan ukiniona mjin bas nna wanangu !sina ME TIME TENA! mie siku nikifanikiwa kuingiza mguu wangu club maamaaaaa!hahaha juz nilidataaaa !cheza mby! hahaha yaan nilipata washikaj sema masikin ya Mungu wanahis nipo free!mwee bas wamenichek jana nikaishia kucheka tu !mwaya tutaenda ! hiv hawa waanume hawajui kuiwa na sie bado vijana tunahitaj kusocialize? nakwazika sana ! njoooooooooooooooooooo