Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Umepitwa harusi. Watu wapo honeymoon saa hiziChereko cherekooooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepitwa harusi. Watu wapo honeymoon saa hiziChereko cherekooooo!
Haha umeona demands zake? NimechekaaaHahahaaaa! Naona mbinti kawa singo mazeri lol!!!
Ahahahaaaaaa mie bado nacheka mpaka sasahivi huyu mbiti sio mzimaHaha umeona demands zake? Nimechekaaa
Mwenzangu kazi ipo hapoChereko cherekooooo!
Sijaziona mama, ziko ukurasa wa ngapi?Haha umeona demands zake? Nimechekaaa
Haha anabanjuka juu kabisa kheeAhahahaaaaaa mie bado nacheka mpaka sasahivi huyu mbiti sio mzima
Comment# 122, 186 na 194Sijaziona mama, ziko ukurasa wa ngapi?
Shikamoo muhenga! [emoji119] [emoji119] [emoji119]nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !
nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!
popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !
tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!
pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli
NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema
Safi sana. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niletee vifuatavyo baby;
zabibu,wine(nikuchomee nyama ),pure heaven,apples,asali,keki, eet sum more,blueband kubwa , icing sugar(nikupikie madikodiko ),sundrop,sukari,nido kubwa ,spices za chai,
na kiatu blak no 39 baby ! mid heel
NimemkomaSafi sana. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shikamoo muhenga! [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Safi sana. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo list ya mahitaji ndio yenyewe sasa.Nimemkoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]naanza kufunguka ubongo mwenzangu zaman nilikua boya sanaaa !madai yake tru luv!sitak tenaaaaaaaa!
Duhh .naanza kufunguka ubongo mwenzangu zaman nilikua boya sanaaa !madai yake tru luv!sitak tenaaaaaaaa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani ukiwa na true love ndio huwi na mahitaji? And if thats the case basi hiyo true love ina ualakini.
Tawire mkuuMkuu had uwe una nyota inayowaka kama yang vinginevyo utaambulia patupu
Sent using Jamii Forums mobile app