Nakwenda kwenye kifungo kigumu sana 2024 ila kitanisaidia sana.

Kila la kheri mkuu. Na usiishie kuandika hapa pekee, kisha kurudia yaleyale. Dhamira ikushitaki endapo utafanya hivyo.
 
Hiyo Bible unayoenda kufocus ndio Pure Scam

You are going to focus with fictional stories.

Wanadamu watu wa ajabu sana[emoji28] mkiletewa simulizi za akina Newtone kukaa chini ya apple tree na kugundua gravitational force, au simulizi za Christopher Columbus za kuizunguka dunia na kutambua kua dunia ni duara, wala hampingi. Ila the good Book (The Bible) ambayo inamuongoza mwanadamu kuishi maisha mema unaona ni fiction. Ujinga ni mzigo mzito.
 
Hata hiyo bibilia ni skamu tupu
 
Nan kakudanganya kuwa biblia ina hadithi za kwel?
 
Huitaji kutumia Bible ili uwe mtu mwema.

Kuna watu wema na hawajawahi kusoma hiyo Bible.

Nakwambia hivi, Biblia hiyo ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.
 
Daah hongera sana. Bwana akutie nguvu. Ni malengo mema. Unaweza usiyafanikishe yote lakini ni mwanzo na mweleko mwema. Tutafutane inbox maana tuko njia moja katika malengo hayo.
 
Maisha yenyewe Yako wapi raha jipe mwenyewe
 
Unashauri asome kitabu gani unachoona sio fiction?
Vipo vingi tu. Tatizo.watu wengi wanadhani Ilianza Biblia alafu ndio ikaja Dunia. Ukisoma sana Vitabu vya Dini haswa Biblia na Quran utakuwa na "Fear of the Unknown". Hivi vitabu vina ajenda za kibinadamu sanaa na lengo ni kuufanya upande flani uusujudie upande mwingine.
 
Utakosa vingi kama taarifa za RIP, ndoa, tarifa za makongamano na semina za neno la mungu n.k You can't leave alone in this Universe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…