FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mimi huwa sielelewagi, yaani pesa ipo Tigo pesa kwa mfano, nataka kutuma kwenda CRDB , kwanini nisitume moja kwa moja hadi nitumie hiyo app?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah siku hizi ndio wenye ushawishi wa kuendesha hadi kampeni za kitaifa 🤦🏽♂️🤦🏽♂️Wakata mauno,machawa,wadakudaku
Wanapewa kipaumbele
Ova
Wabongo tunafeli mnooo daah inatua huzuniTanzania alifungua ila akafunga coz TRA na TCRA walimpelekea invoices za mlolongo wa makodi ambayo alishindwa kuyalipa akaona akaweke headquarters zake London tu.
Roho mbaya za baadhi ya wabongoSasa badala ya kusaidia mzalendo huyu wamamufikisi na milolongo ya makodi ha ha ha, badala wampe kibali an then fedha jinsi zitakavyokuwa zinatumwa wawe wanakata parcentage humohumo / 4%,1.5%its benefit and so so
Ataweza makato?Tanzania alishindwa kufungua au
Ova
Failure? Kivipi?Form 6 failure aliyejitambuwa na kuprove system wrong
Wana akili hiyo?Sasa badala ya kusaidia mzalendo huyu wamamufikisi na milolongo ya makodi ha ha ha, badala wampe kibali an then fedha jinsi zitakavyokuwa zinatumwa wawe wanakata parcentage humohumo / 4%,1.5%its benefit and so so
Tanzania alishindwa kufungua au
Ova
Tanzania alifungua ila akafunga coz TRA na TCRA walimpelekea invoices za mlolongo wa makodi ambayo alishindwa kuyalipa akaona akaweke headquarters zake London tu.
Atafunguaje ofisi kwenye nchi ambayo tozo na kodi zimejazwa kila kona😂😂😂??? Waziri sio mbunifu anachojua yeye ni kukamua raia tu kwa mitozo kwenye miamala kaona ya simu haitoshi kahamishia bankTanzania alishindwa kufungua au
Ova
Nilhisi hili ndio tatizo then i was right😂 serikali iwe bunifu jamani. VAT ya 18% is more than enough ikitumika kwa usahihi na watu watashawishika zaidi kulipa kodi.Tanzania alifungua ila akafunga coz TRA na TCRA walimpelekea invoices za mlolongo wa makodi ambayo alishindwa kuyalipa akaona akaweke headquarters zake London tu.
Halafu waziri mwenyewe ana uchu sana na nafasi ya urais. Siku akiupata huo urais mbona watanzania tutatozwa kodi hadi kwenye wingi wa mikojo tunayojikamua.Atafunguaje ofisi kwenye nchi ambayo tozo na kodi zimejazwa kila kona😂😂😂??? Waziri sio mbunifu anachojua yeye ni kukamua raia tu kwa mitozo kwenye miamala kaona ya simu haitoshi kahamishia bank
Bank zetu sio rafiki sana na huduma mtandaoTanzania alishindwa kufungua au
Ova
Hilo ni li ccm halinaga akili zaidi ya matusi achana naloUmedandia gari kwa mbele..
Uwe unapitia vizuri comments, huku ndio tulikoanzia
Hatakiwi kuachiwa hio nafasi hata kwa nukta. Abakie na biashara zake tu za mabasiHalafu waziri mwenyewe ana uchu sana na nafasi ya urais. Siku akiupata huo urais mbona watanzania tutatozwa kodi hadi kwenye wingi wa mikojo tunayojikamua.
Wateja wachacheTanzania alishindwa kufungua au
Ova
Form 6 failure aliyejitambuwa na kuprove system wrong