Nalaani Mbunge Condester Michael kutolewa ndani ya Bunge kisa Mavazi, ameonewa na kudhalilishwa kwa makusudi

Nalaani Mbunge Condester Michael kutolewa ndani ya Bunge kisa Mavazi, ameonewa na kudhalilishwa kwa makusudi

๐“š๐”€๐“ช๐“ท๐“ฒ ๐“ผ๐“พ๐“ป๐“พ๐“ช๐“ต๐“ฒ ๐”‚๐“ฎ๐“ท๐”‚๐“ฎ๐”€๐“ฎ ๐“ฒ๐“ท๐“ช๐“ผ๐“ฎ๐“ถ๐“ช๐“ณ๐“ฎ...
Inasema imebana na tackle hamna ni flat screen!
 
๐“š๐”€๐“ช๐“ท๐“ฒ ๐“ผ๐“พ๐“ป๐“พ๐“ช๐“ต๐“ฒ ๐”‚๐“ฎ๐“ท๐”‚๐“ฎ๐”€๐“ฎ ๐“ฒ๐“ท๐“ช๐“ผ๐“ฎ๐“ถ๐“ช๐“ณ๐“ฎ...
Inasema imebana na tackle hamna ni flat screen!
 
Huyo dada anamtizama mwenzake na macho regea ana majungu kwa facial appearance yake.Amefurahia kinafiki.Na mbunge hajavaa kufuli pia!
 
Huyo dada anamtizama mwenzake na macho regea ana majungu kwa facial appearance yake.Amefurahia kinafiki.Na mbunge hajavaa kufuli pia!
Yawezekana alikuwa amevaa bikini, ndio mana alionekana chupiless kupitia suruali yake iliyobana flat screen yake.
 
Yawezekana alikuwa amevaa bikini, ndio mana alionekana chupiless.
kwani kuna ukaguzi wa chupi humo kwamba nani kavaa na nani hajavaa...mbona kuna wanaume wanavaa kaptula badala ya boxer ila wamo ndani na wanadunda tu... !!

wamemuonea mdada wa watu - mtu kuvaa sitaki usumbufu imekuwa nongwa...loooh
 
Ila kwa pale ameonewa yule mbunge, mbona amevaa kawaida na ki staha kabisa. Yule babu kizee ana lake jambo khaaaah.
Tatizo ni Generation crush.

Babu aliyekuwa na hii bado yuko kwenye 1980 s wakati sasa ni 2021.... Nafikiri ustaafu kwa kikomo cha umri kianze kutumika ngazi zote na siyo kwa watumishi peke yao.
 
wanakulana wenyewe sasa loh hatari sana hii ,ila sijaona kama hicho kivazi kina mushkeli sema mzee labda aliomba kazi akanyimwa siku za karibuni akaona apigilie hapo hapo kwani nini bwana
 
Pia, pale getini Sajenti Atams awe anakagua kilichobebwa ndani ya mikoba yao hiyo mikubwa, kusiwepo naupenyo wa dildos kuingizwa bungeni, mana hapo ni sehemu takatifu ya nchi! ๐Ÿ˜‚
 
Ameonewa vipi kwani zile pesa za suti wanazopewa kapeleka wapi
 
Yule mzee atakua Mzanzibar tu huku bara hatuna kabisa hizo swaga. Dada atakua alimpiga rejection mzee akamwambia tutaona. Duh! Very bad
Aaah yaani mzee aliomba lift njiapanda akatoswa may be
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Hivi ni wabunge gani wakuonea huruma hawawa au wengine, wacha wadhalilishane tu maana.

Mchawi akimaliza wa jirani huanza na wakwake.
Vp yule anaejiita mtetezi wa wanawake au ni kwa wale covid-19 tu??
 
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.

View attachment 1804774
View attachment 1804793
Vibabu Wanataka wadada waje na madela nini. Huyu Dada kaonewa.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.

View attachment 1804774
View attachment 1804793
Kwa hili kaonewa sana tena sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.

View attachment 1804774
View attachment 1804793

Kumbukumbu la Torati 22:5​

Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.
 
Back
Top Bottom