Nalaani Mbunge Condester Michael kutolewa ndani ya Bunge kisa Mavazi, ameonewa na kudhalilishwa kwa makusudi

Nalaani Mbunge Condester Michael kutolewa ndani ya Bunge kisa Mavazi, ameonewa na kudhalilishwa kwa makusudi

Achague tu kama anataka kuvaa atakavyo akaungane na watanzania wengine walioko baa wakisaka tonge.
vinginevyo bungeni siyo sehemu ya kwenda kusaka wachumba.
 
Huyu mzee Hussein Nassor Amar aliyemchongea huyu Dada ni mpuuuzi. Kwanza alikua anaangalia nini hadi kaona hilo. Pili nguo ya kawaida kabisa hiyo huyu mzee ana matatizo aseme kama katoswa sio kusingizia mavazi ya kubana.
 
Mwomba mwongozo kaona hiyo ndiyo hoja ya uwakilishi wa wananchi wa Momba?

Hili ndilo ametumwa na wapiga kura wake?
Hapo kawatetea wanyonge?

Alikosa namna bora ya kulimaliza/kumrekebisha nje ya kamera ili kutumia muda huu adhimu kwa manufaa mapana ya taifa.
 
Babu mihemko atakuwa, yaleee ya Makonda kutuhumu watu ushoga badala ya kufanya kazi za Jiji
 
Akina mama ni watu wanaopenda mitindo, sasa hawa wazee wajifunze hulka za kina mama au ndo ile kutaka kuleta maadili ya kidini kuvaa hijab mjengoni.
 
Yule mzee atakuwa na matatizo yake binafsi. Na hana busara kabisa kumdhalilisha binti namna ile. Angekuwa ni mtoto wake amefanyiwa vile angefurahi? Angeweza mwita pembeni akamwambia au akamtumia mama mtu mzima kumwelewesha. But pia dada hajavaa suruali ya kubana. Mzee mjinga mhuni tu.
Chizi. Huyo mzee Ni Nani?
 
Huyo mzee babu kajilipua, kama bwai bwai tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu babu useless kabisa , suruali ni vazi la staha kabisa kwa mwanamke , huyu babu kala maharage ya wapi sijui , nashauri wanawake wa jimbo lake wote wasimpe kura 2025 kamdhalilisha dada wa watu
 
U
Ni mzee,ana mtazamo wa 1950 huko
Unajua hawa wazee wa zamani ukiunganisha na 'mifumo dume' ni kaaazi kwelikweli... nakumbuka enzi zile hata Waziri mkuu mwendazake Rashid Kawawa,aliwahi agiza mgambo kutembea na nikasikia na kufanya operation ya kuwasaka na kuwachukulia hatua wale wanawake wote waliovaa nguo fupi mitaani..... ilikuwa patashika wakati ule wa siku za siasa ya Ujamaa...... Anyway kazi iendelee.
 
Bunge limekuwa sehemu ya wadangaji, full vituko.
Watajuana wenyewe hayo ndio walioyataka

20210526_175420.jpg
 
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.

View attachment 1804774
View attachment 1804793
Maneno ya nyerere yanaanza kuonekana bungeni. ( Zambi ya ubaguzi .) Walianza kubagua wagombea kwa kuangalia chama chao tu. Sasa mungu anaanza kuwaonyeshea matunda ya umimi. R.I.p nyerere.
 
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.
View attachment 1804793
Tuwekee kwanza dressing code ya bungeni..
 
Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!
Labda supika alitupa ndoana ikateleza
 
Back
Top Bottom