Nalaani suala la Sizya wa Clouds kuuliza ukomo wa Uenyekiti wa Mbowe

Nalaani suala la Sizya wa Clouds kuuliza ukomo wa Uenyekiti wa Mbowe

Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Swali hilo hata Pascal Mayala(Mayalla)sic lipo kwenye mdomo wake ila hawaulizi ni lini viongozi wa CCM na familia zao wataacha kugawana vyeo vya uongozi ndani ya chama na serikalini!
Maji ya mvua ya kwetu matamu kuliko ya kwenu.
 
Hicho chama alikianzisha baba mkwe wa Mbowe, hatutakiachia kirahisi, Bora tukivunje kuliko kukiachia. Tutakivuruga kama NCCR au CUF, zidisheni kelele ndio mtajua hamjui, pale Kuna Hela zetu, jasho letu, na damu yetu, it is our family project
Ungesikiliza mahojiano haya ya mtu intellectual pengine nawe ungepata akili japo kidogo.



Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini Msigwa ashindwe kujibu swali rahisi kama hilo?

Mbowe alishasema ataachia madaraka this year, sioni ugumu wa hilo swali, na hata muuliza swali anaonekana anatembea na maswali ya kukariri kwenye kazi yake, ndio maana Mkapa aliwaita kanjanja.

Ahhhhhhh kosa kubwa au niseme utoto mkubwa wa wanachama wa Siasa ndo huu: hukuna kukubali changamoto hasa zikiwa zinawagusa. Kubali it’s not normal na ni changamoto kubwa kwa Demokrasia lakini Chama kinajitajidi kurekebisha nk.

Msilete maneno ya kitoto. Chama cha Demokrasia kinapaswa kutofautisha ufalme, ukoo na familia. Mbowe is a good man na usakosi wa Vyama ndo unamfanya atawale miaka hii mingi. Mana ukiachana na wajinga wengi wa CHadema humu ambao ni debe Tupu, Mbowe anaamini anachokisimamia.
 
Mtangazaji kabla ya kuuliza angalau aingie mtandaoni na kujiridhisha na katiba ya CDM. Swali linakuwa la kichawa chawa kunguni kunguni kama hataki kurejea miongozo!

Ndio ujinga wa mashabiki wa Vyama. Demokrasia kwao Ni mama Samia anapoulizwa na wengine ila wakina MBOwe ni miungu. Mnatia kinyaa
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Msaga sumu kama msaga sumu. Smart phone upewe Lumumba halafu utetee mambo ya CHADEMA? Nani kasema.
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Umeandika kutoka moyoni, mkononi au mawazoni?
 
Demokrasia unayoipigania ni ipi sasa kama swali dogo tu kama hilo unafura na unalaani

na yeye aulizwe ukomo wa kulipwa clouds ni upi hapo clouds maana kuna wafanyakazi hakuna mshahara ni posho tena kwa kubahatisha.
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
'Tone'ya maandishi yako tu inasomeka kabisa kuwa wewe si CHADEMA. Usijivika ukondoo usiokuwa nao. Wewe ni fisi tu!!
 
Mtangazaji kabla ya kuuliza angalau aingie mtandaoni na kujiridhisha na katiba ya CDM. Swali linakuwa la kichawa chawa kunguni kunguni kama hataki kurejea miongozo!
Mnataka katiba mpya wakati katiba yenu ya hovyo, ya kifalme, halafu nyie ndio mlipinga mjomba wenu Jiwe asitawale mile, wakati ndani ya nyumba yenu kuna mtu anatawala milele
Ungesikiliza mahojiano haya ya mtu intellectual pengine nawe ungepata akili japo kidogo.



Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Waalimu wa SAUT huwa hawaendi kusoma? Huyu miaka na miaka hajafikia udaktari, ngoja tuwachongee TCU
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Tuna laani kitendo hicho dhalimu kabisa, mtangazaji unauliza ni lini m/kiti wa chama ataachia ngazi?! Mtangazaji huyo awe na adabu...
 
Nyerere kaanza uenyekiti miaka ya 60 au 50. Kauachia miaka ya 90
 
Kwanini Msigwa ashindwe kujibu swali rahisi kama hilo?

Mbowe alishasema ataachia madaraka this year, sioni ugumu wa hilo swali, na hata muuliza swali anaonekana anatembea na maswali ya kukariri kwenye kazi yake, ndio maana Mkapa aliwaita kanjanja.
Wewe ni kanjanja,jibu swali vizuri,anaachia Uenyekiti kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA au anavyojisikia yeye Mbowe!
CHADEMA kumejaa mazwazwa mengi sana! Yanapigania demokrasia wakati yenyewe hayajui hata maana ya demokrasia!!!
 
Ahhhhhhh kosa kubwa au niseme utoto mkubwa wa wanachama wa Siasa ndo huu: hukuna kukubali changamoto hasa zikiwa zinawagusa. Kubali it’s not normal na ni changamoto kubwa kwa Demokrasia lakini Chama kinajitajidi kurekebisha nk.

Msilete maneno ya kitoto. Chama cha Demokrasia kinapaswa kutofautisha ufalme, ukoo na familia. Mbowe is a good man na usakosi wa Vyama ndo unamfanya atawale miaka hii mingi. Mana ukiachana na wajinga wengi wa CHadema humu ambao ni debe Tupu, Mbowe anaamini anachokisimamia.
Kwani Mbowe alikuwa anajipa uenyekiti binafsi kwa maamuzi yake au alikuwa akipigiwa kura na wanachama wake?

Utoto ni kutoheshimu maamuzi ya wengine, na kuwataka wafanye vile utakavyo wewe!.
 
Wewe ni kanjanja,jibu swali vizuri,anaachia Uenyekiti kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA au anavyojisikia yeye Mbowe!
CHADEMA kumejaa mazwazwa mengi sana! Yanapigania demokrasia wakati yenyewe hayajui hata maana ya demokrasia!!!
Kwani mtu kuamua kuondoka madarakani mwenyewe sio demokrasia?

Kanjanja ni kudhani demokrasia ni kukaa madarakani mpaka mwisho wa muhula wa uongozi, wajinga wa JF mna confidence sana!.
 
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti?
Akili ya jamaa ndipo ilipogotea, pamoja na changamoto zote zinazilikabili Taifa kwa sasa hasa za ki kiuchumi na kisiasa - lakini yeye akili yake imemtuma tu kujua ni lini Mh. Mbowe ataondoka CDM - hiyo ndiyo priority yake kwa sasa.
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Kwa msimamo huo, wewe sio mwana Demokrasia. Mwanademokrasia anapaswa kuwa na ngozi ngumu, yaani kuwa tayari kusikia na kujadili suala /hoja lolote/yoyote mradi tu halivunji/haivunji sheria.

Kulaani au kuchukizwa na swali dogo namna hiyo ni kuonesha ni jinsi gani wewe na wengine wanaojinasibu kuwa ni wanademokrasia mnavyojificha kwenye chaka hilo ilhali nyie ni wahafidhina na madikteta kiaina.

Katiba ya CDM iko wazi juu ya hilo, vipindi ni viwili hayo mengine mnayozungumzia ya Tija ni maneno tu kwa ajili ya kujifurahisha wenyewe. Mmeshindwa kabisa kuheshimu Katiba yenu, vp baadae mkipewa Nchi mtaweza kuishi maneno yenu kwa maana ya kuilinda Katiba ya Nchi!!?[emoji3526][emoji3526]
 
Kwanini Msigwa ashindwe kujibu swali rahisi kama hilo?

Mbowe alishasema ataachia madaraka this year, sioni ugumu wa hilo swali, na hata muuliza swali anaonekana anatembea na maswali ya kukariri kwenye kazi yake, ndio maana Mkapa aliwaita kanjanja.
Kwa hiyo unataka kutuambia Katiba ya CDM inatekelezwa kutegemea mapenzi ya mtu!!? "Mbowe alisema ataachia madaraka this year!!"[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom