Nalaani suala la Sizya wa Clouds kuuliza ukomo wa Uenyekiti wa Mbowe

Nalaani suala la Sizya wa Clouds kuuliza ukomo wa Uenyekiti wa Mbowe

Hicho chama alikianzisha baba mkwe wa Mbowe, hatutakiachia kirahisi, Bora tukivunje kuliko kukiachia. Tutakivuruga kama NCCR au CUF, zidisheni kelele ndio mtajua hamjui, pale Kuna Hela zetu, jasho letu, na damu yetu, it is our family project
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo mleta mada mwenyewe anawateka akili. Bila shaka ni chawa kama alivyo Etwege na the like.

Msigwa amejibu vizuri sana, halafu huyu analeta taarifa za uwongo.

Mwana habari makini huuliza swali likiwa limejengwa katika msingi. Ukomo wa uongozi kwa kiongozi yeyote unaelezwa kwenye katiba. Kama unauliza tu kutokea hewani unaonekana ni mwanahabari kanjanja.

Huyo mwanahabari wa Clouds angekuwa na weledi, angemwuliza Msigwa kama ana mpango wa kugombea nafasi ya Umwenyekiti kwenye uchaguzi ujao (kwa sababu katiba ya CHADEMA inamruhusu mwanachama yeyote mwenye sifa kugombea nafasi hiyo). Au angeweza kumwuliza Mbowe, kama ana mpango wa kugombea tena (kwa sababu katiba ya CHADEMA haina kipengere kinachomzuia mwenyekiti wa sasa kugombea tena, akitaka).

Lakini kutokana na ujinga, mwulizaji swali ameuliza swali lisilo sahihi kwa mtu asiye sahihi. Msigwa siyo Mbowe, anamwuliza swali linalomhusu Mbowe.
Kwa msingi huo, katiba mpya tunayoitaka tunaenda KUONDOA UKOMO WA URAIS rais agombee mpaka sanduku la kura litakapomkataa kama ilivyo Uganda, Rwanda na CHADEMA.

Asante.
 
Kwa
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Ngu sizya amekosea? Democracy ya chadema iko wapi?
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Angewauliza CCM lini wataacha wizi wa kura ili tupate washindi halali. Ila tatizo kubwa la clauds ni la ushoga
 
Mbona maswali kama haya haulizwi Lipumba/Cheyo/nk. Tukishawatoa majambazi madarakani tutafuata mfumo unaotakiwa wa kidemokrasia. Kwa sasa subirini kwanza tupigane vita. Huwezi kumwambia kamanda wa vita anayeelekea kwenye ushindi arudi nyuma uwafaidishe maadui!
 
Kwa hiyo unataka kutuambia Katiba ya CDM inatekelezwa kutegemea mapenzi ya mtu!!? "Mbowe alisema ataachia madaraka this year!!"[emoji23][emoji23]
Mbowe kafuata sheria, elewa, hapa sio sheria imemfuata Mbowe, unaposema Katiba ya Chadema inatekelezwa kutegemea mapenzi ya mtu, unaonesha hujui kufikiria kwa makini.
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Ukomo wa Chairman wa CDM ,nenda kasome katiba ya Chadema inasemaje kuhusu uenyekiti wa Chama, na mtu kama wewe kwenda so low kuhusu eti Mh.Msigwa kushindwa kujibu swali hili inajionyesha ni jinsi gani upumbavu uliopo kwenye mada yako, na sio kweli kuwa uongozi wa CDM hautaki au unajisikia vibaya kuulizwa swali kama hili.
 
Hicho chama alikianzisha baba mkwe wa Mbowe, hatutakiachia kirahisi, Bora tukivunje kuliko kukiachia. Tutakivuruga kama NCCR au CUF, zidisheni kelele ndio mtajua hamjui, pale Kuna Hela zetu, jasho letu, na damu yetu, it is our family project
Wew ni James mbowe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sawa kabisa tumekusikia kuhusu waandishi na media kuuliza the forbidden questions, ila pia ukae ukijua the forbidden fruit is the sweetest!.

Nakumbuka ukizungumzia ukomo wa uongozi Chadema ni kama unatangaza vita!, angalia nilichojibiwa na Dr. Slaa nilipoulizia hili https://www.jamiiforums.com/threads...kithibitishwa-chadema-inaweza-kufutwa.543947/

P
Fair enough Adv.Mayala ila media ni vema muwe honestly ili kulinda taaluma zenu,ulimuuliza swali President Magufuli (rip),alivyokujibu wewe uliridhika na jibu lake?taaluma hii ndani ya nchi yangu imeshakua corrupted na matokeo yake tumepoteza waandishi waliokuwa wanaifanyia haki taaluma hii, pls Adv.Mayala nenda tena na uisome katiba ya Chadema inasemaje kuhusu nafasi ya Chairman then urudi hapa pls, serikali ya chama cha ccm bado ina watendaji toka awamu ya kwanza ya utawala wetu!,tufikirie kama President Nyerere (rip)angejiuzuru na watendaji wote na President Mwinyi angeingia na watendaji wapya nchi ingekua wapi?
 
Halafu waandishi wenyewe wa Clouds!!,ona maswali waliomuuliza president kikwete kwenye 72yrs ya miaka yake?,ni crap tupu
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Ha ha haaaaaa
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
😂
 
Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "

Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.

Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Mpaka wenyewe Chadema watakaposema sasa basi hawatamchagua !!
 
Halafu waandishi wenyewe wa Clouds!!,ona maswali waliomuuliza president kikwete kwenye 72yrs ya miaka yake?,ni crap tupu
Ulitamani wandishi wa media gani ndo wamuhoji Ili isiwe crap?
 
Kwanini Msigwa ashindwe kujibu swali rahisi kama hilo?

Mbowe alishasema ataachia madaraka this year, sioni ugumu wa hilo swali, na hata muuliza swali anaonekana anatembea na maswali ya kukariri kwenye kazi yake, ndio maana Mkapa aliwaita kanjanja.
Hata akiachia hawatapata nafuu yoyote kwani ataingia mwamba Heche
 
Back
Top Bottom