sekindunda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 335
- 232
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hicho chama alikianzisha baba mkwe wa Mbowe, hatutakiachia kirahisi, Bora tukivunje kuliko kukiachia. Tutakivuruga kama NCCR au CUF, zidisheni kelele ndio mtajua hamjui, pale Kuna Hela zetu, jasho letu, na damu yetu, it is our family project
Kwa msingi huo, katiba mpya tunayoitaka tunaenda KUONDOA UKOMO WA URAIS rais agombee mpaka sanduku la kura litakapomkataa kama ilivyo Uganda, Rwanda na CHADEMA.Huyo mleta mada mwenyewe anawateka akili. Bila shaka ni chawa kama alivyo Etwege na the like.
Msigwa amejibu vizuri sana, halafu huyu analeta taarifa za uwongo.
Mwana habari makini huuliza swali likiwa limejengwa katika msingi. Ukomo wa uongozi kwa kiongozi yeyote unaelezwa kwenye katiba. Kama unauliza tu kutokea hewani unaonekana ni mwanahabari kanjanja.
Huyo mwanahabari wa Clouds angekuwa na weledi, angemwuliza Msigwa kama ana mpango wa kugombea nafasi ya Umwenyekiti kwenye uchaguzi ujao (kwa sababu katiba ya CHADEMA inamruhusu mwanachama yeyote mwenye sifa kugombea nafasi hiyo). Au angeweza kumwuliza Mbowe, kama ana mpango wa kugombea tena (kwa sababu katiba ya CHADEMA haina kipengere kinachomzuia mwenyekiti wa sasa kugombea tena, akitaka).
Lakini kutokana na ujinga, mwulizaji swali ameuliza swali lisilo sahihi kwa mtu asiye sahihi. Msigwa siyo Mbowe, anamwuliza swali linalomhusu Mbowe.
Ngu sizya amekosea? Democracy ya chadema iko wapi?Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.
Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Angewauliza CCM lini wataacha wizi wa kura ili tupate washindi halali. Ila tatizo kubwa la clauds ni la ushogaHuyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.
Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Mbowe kafuata sheria, elewa, hapa sio sheria imemfuata Mbowe, unaposema Katiba ya Chadema inatekelezwa kutegemea mapenzi ya mtu, unaonesha hujui kufikiria kwa makini.Kwa hiyo unataka kutuambia Katiba ya CDM inatekelezwa kutegemea mapenzi ya mtu!!? "Mbowe alisema ataachia madaraka this year!!"[emoji23][emoji23]
Ukomo wa Chairman wa CDM ,nenda kasome katiba ya Chadema inasemaje kuhusu uenyekiti wa Chama, na mtu kama wewe kwenda so low kuhusu eti Mh.Msigwa kushindwa kujibu swali hili inajionyesha ni jinsi gani upumbavu uliopo kwenye mada yako, na sio kweli kuwa uongozi wa CDM hautaki au unajisikia vibaya kuulizwa swali kama hili.Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.
Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Wew ni James mboweHicho chama alikianzisha baba mkwe wa Mbowe, hatutakiachia kirahisi, Bora tukivunje kuliko kukiachia. Tutakivuruga kama NCCR au CUF, zidisheni kelele ndio mtajua hamjui, pale Kuna Hela zetu, jasho letu, na damu yetu, it is our family project
Fair enough Adv.Mayala ila media ni vema muwe honestly ili kulinda taaluma zenu,ulimuuliza swali President Magufuli (rip),alivyokujibu wewe uliridhika na jibu lake?taaluma hii ndani ya nchi yangu imeshakua corrupted na matokeo yake tumepoteza waandishi waliokuwa wanaifanyia haki taaluma hii, pls Adv.Mayala nenda tena na uisome katiba ya Chadema inasemaje kuhusu nafasi ya Chairman then urudi hapa pls, serikali ya chama cha ccm bado ina watendaji toka awamu ya kwanza ya utawala wetu!,tufikirie kama President Nyerere (rip)angejiuzuru na watendaji wote na President Mwinyi angeingia na watendaji wapya nchi ingekua wapi?Sawa kabisa tumekusikia kuhusu waandishi na media kuuliza the forbidden questions, ila pia ukae ukijua the forbidden fruit is the sweetest!.
Nakumbuka ukizungumzia ukomo wa uongozi Chadema ni kama unatangaza vita!, angalia nilichojibiwa na Dr. Slaa nilipoulizia hili https://www.jamiiforums.com/threads...kithibitishwa-chadema-inaweza-kufutwa.543947/
P
Ha ha haaaaaaHuyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.
Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
😂Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.
Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Mpaka wenyewe Chadema watakaposema sasa basi hawatamchagua !!Huyu mtangazaji wa Clouds anatumiwa na CCM kwa maslahi ya nani? Yuko laivu mida hii halafu anamuuliza mchungaji Msigwa "the forbidden question "
Jamaa amemuuliza Msigwa eti ni lini Mbowe ataachia nafasi ya Uenyekiti? Kwa kifupi Msigwa alishindwa kabisa kulijibu swali hili zaidi ya kuruka ruka.
Mimi Kama Chadema nalaani Sana swali hili, na sitaki liulizwe tena na mtu mwingine.
Kwani hando kafukuzwa au kabadilishiwa kitenge pale efmMtangazaji Anapambania Teuzi Kama Hujui
Angeuliza Ya Ccm Angafutwa Kazi Kama Gerald Hando Wa E FM
[emoji23][emoji23][emoji23]Clouds ni kundi la matapeli
Ulitamani wandishi wa media gani ndo wamuhoji Ili isiwe crap?Halafu waandishi wenyewe wa Clouds!!,ona maswali waliomuuliza president kikwete kwenye 72yrs ya miaka yake?,ni crap tupu
Hata akiachia hawatapata nafuu yoyote kwani ataingia mwamba HecheKwanini Msigwa ashindwe kujibu swali rahisi kama hilo?
Mbowe alishasema ataachia madaraka this year, sioni ugumu wa hilo swali, na hata muuliza swali anaonekana anatembea na maswali ya kukariri kwenye kazi yake, ndio maana Mkapa aliwaita kanjanja.