Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,248
- 360
Si Kweli na si HuyuHuyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.
Singida rushwa ni kama Uji na Mgonjwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Kweli na si HuyuHuyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.
Singida rushwa ni kama Uji na Mgonjwa!
Loh
Hii ndiyo Taarifa ambayo imepatikana siku ya leo, Kiula amewahi kuwa Mbunge wa Iramba na waziri wa Ujenzi (1985 - 1995)
Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zinavyotufikia.
Pia soma
Kwa hiyo umemkosa inauma!!JPM naye alifaa apandishwe kisutu
Mama Queen nae ni marehemu kwa sasa (RIP)Loh
Baraka Kiula
Bahati Kiula
Neema Kiula na
Amani Kiula poleni sana kwa huu msiba mzito.
Queen Makiula yupo wapi siku hizi? Mnakumbuka alifumaniwa akiwa waziri? Mkewe (RIP) alikuwa pisi kali lakini huyo mama Queen alikuwa moto ya bunyeze haswaa. Shantashanta
Maisha ni mchepuko wa pili
Daah so sad.Mama Queen nae ni marehemu kwa sasa (RIP)
Watoto wake hawapo kwenye system?
Hii ndiyo Taarifa ambayo imepatikana siku ya leo, Kiula amewahi kuwa Mbunge wa Iramba na waziri wa Ujenzi (1985 - 1995)
Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zinavyotufikia.
Pia soma
Mwigulu naye hayupo nyumaHuyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.
Singida rushwa ni kama Uji na Mgonjwa!
Mlingwa aligungwa, kweli huyu nilizani wizara anamiliki yeye, alipewa rushwa yabCoasta masaki posta coastal mayai. Ilikuwq mzuri balaa, wakatibule coastal yalikuwa magqribya hadhi yanabeba wabungekila hakushinda kesi ile?
Nadhani Katibu mkuu dr.mlingwa ndio alikutwa na hatia na haikuwa ktk kosa la rushwa.
Ktk utetezi wake kiula alidai alikuwa anafanyiwa fitina za kisiasa.
Wanapenda sana mabasi!Mwigulu naye hayupo nyuma
ECOWASHuyu ambaye hajawahi kuhutubia hata AU?
Yes, alikuwa waziri mdogi kipindi cha mwisho utawala wa mwalimu.Alikuwa wa Nyerere pia. Mzee alianzia mbali sana. Mwinyi alimrithi tu. Hiyo ya rushwa alishinda kesi mahakamani.
Wanyiramba wakishakunywa pombe za kienyeji wanataka usafiri, mabasi ya Mwigulu yanaitwa Ester jina la mke wakeWanapenda sana mabasi!
Wewe ulikuwepo kipindi hicho?Yes, alikuwa waziri mdogi kipindi cha mwisho utawala wa mwalimu.
Lakini alijizolea sifa ya kutokuwa na ushirikiano.
Wapo kwenye system?Wamawe wapo wote
Yes, namfahamu fika!Wewe ulikuwepo kipindi hicho?
Du faza umekula chumvi hongera snYes, namfahamu fika!