miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Queen ni mke wa JB msanii kwa sasa!!Daah so sad.
Lakini Queen yupo wapi siku hizi? Alinitangulia darasa moja pale Jiteute. Mzee Kiula alikula vinono kwa mama yake walah.
Mungu ampumzishe mzee wetu
Ha haDu faza umekula chumvi hongera sn
Kuna la kujifunzaHa ha
Si chumvi tu, na sukari nyingi pia.
Humu mtandaoni kuna watu wengi.Kuna la kujifunza
Tz hakuna viongozi ni watawala tupuHumu mtandaoni kuna watu wengi.
Kuna mawaziri, kuna watendaji wakuu, kuna watu wa usalama na polisi.
Na baada ya mama Samia kusema anaipitia mitandsi viongizi wengi wamo humu.
Alikua na coaster mpya za dukani daladala Stesheni to Masaki ambazo alizipata kwa njia za kutatanisha.Waziri wa Ujenzi wa Mzee Ally Hassan Mwinyi ambae alilipuliwa kwny report Rushwa ya 1996 ya Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba
Nyerere akamuuliza. Na hii Icarus fupi? Akasema nimepewa zawadi. Stupid.Huyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.
Singida rushwa ni kama Uji na Mgonjwa!
Unamaana ile Ikarus fupi ya rangi ya buluu tofauti na zingine!Huyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.
Singida rushwa ni kama Uji na Mgonjwa!
Kumbe wakongwe tuko wengiUnamaana ile Ikarus fupi ya rangi ya buluu tofauti na zingine!
Nyerere akamuuliza. Na hii Icarus fupi? Akasema nimepewa zawadi. Stupid.
Ununue ikarus kwa hela za umma Kisha upewe zawadi binafsi.? Acha ujinga, peleka yard ya Uda, Tena ipakwe rangi ya Uda na namba za SU.
Ndio kale ka Ikarus kasiko na mtoto.
Aiseeee !!Hilo mnampakazia
Hakuhusika na Ikarus, scandal ya Ikarus na lile basi dogo ilikuwa 10% ya mkurugenzi wa UDA wakati huo anaitwa Simon Kushoka.
Mbii muntua wanee...Pumzika kwa amani Nalaila!
Aleotete kolo mbee, songela shekolo alewamtyatya o Nzua
Iza mamtoto, mpola za ntondo?Mbii muntua wanee...
Songela,umupangaPumzika kwa amani Nalaila!
Aleotete kolo mbee, songela shekolo alewamtyatya o Nzua
Mpola za ntondo tumepoteana!Mbii muntua wanee...
Mtu mwenyewe anaitwa ,Pole zake Nalialia Kuula.
Alikuwa na roho mbaya!
Lakini RIP
Nzinza duu, mpasuu duu kunu... Mbula yasiitaIza mamtoto, mpola za ntondo?
Nzinza a, kukole uwee... Mpasuu du kunuo
Mpola za ntondo tumepoteana!