Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Mtu asipokua wazi kueleza kinachomkwaza kidogo ni ngumu kupata ufumbuzi.... Hapo ni akili ya ziada yahitajika,

Ila tafuta utulivu akwambie ni mambo yepi yanayomkwaza kwako.
 
Hahhaa bora umuelewe tu, ili usije ukaingia na expectations kibao afu ukakuta hamna kitu. Ikitokea umejibahatishia mmoja kama gelofriend wangu, basi itakuwa zali la mentali

Nilikuwa sijamsoma vizuri Evelyn Salt, kumbe nature ya kazi yake pia inachangia, ana muda mwingi wa kukaa home.

Manake nilikuwa najaribu kufikiria ratiba ya wifiyo na mimi mwenyewe, ni kwamba hazipishani, tunaondoka asubuhi asubuhi tunarudi late in the evening, wote hoi bin taabani. Sasa muda wa kunifanyia hayo yote atautoa wapi, labda asilale kabisaaa!!! So mengi tu najiongezaga mwenyewe and I don't see a problem

Aliyesema ndoa haina fomula hakukosea I think
 
Last edited by a moderator:
Hongera dada !! Nitakuunganisha na wangu uumpe shamba darasa kidogo
 
Aiseee huyo jamaa yako ana bahati sana, mavitu yote hayo unamfanyia bado analalamika tu??!! hadi kumbrushia viatu, aisee we noma kwa makea, hongera sana!!

BTW are home-stay mum Evelyn Salt? coz najaribu kuimagine how comes unapata muda wa kufanya yote hayo

The worst thing, najaribu kuimagine how comes unamfulia hadi boksa zake!!?? Yaani jamaa ana kazi ya kuzirundika tu au inakuaje? I mean akienda kuoga anaiacha bafuni chafu au anaiacha chumbani chafu ndo anaenda kuoga? Napata ugumu kuelewa practicality ya hii kitu
Heaven Sent hebu share nami uzoefu wako plz

I'm a married woman and I do all these,uzoefu ni kuwa,akivua nguo kwenda kuoga anavua na boksa shwaaaaaaaa anachomoa miguu anaiacha hapo chini imekaa kama kibakuli,anafunga towel anaingia bafuni. Ninacollect na kuweka kwenye tenga la nguo chafu kisha nazifua,kama wewe unafua za kwako basi mkeo ana bahati ya nguruwe kuchimba muhogo bila jembe.
 
Last edited by a moderator:
evelyn salt"" hayo yote ni sawa kabsa. lkn ili yadumu na yawe na nguvu na uwe tofauti na wengne ni lazma Ukikabidhi Kwa Mungu,maana Hayo Unayofanya Wapo Ambao Wanaweza Kufanya Zaidi.

Wito Wng Kwako Mpeni Yesu Maisha Yenu Nae Atawaongoza Vema.
 
I'm a married woman and I do all these,uzoefu ni kuwa,akivua nguo kwenda kuoga anavua na boksa shwaaaaaaaa anachomoa miguu anaiacha hapo chini imekaa kama kibakuli,anafunga towel anaingia bafuni. Ninacollect na kuweka kwenye tenga la nguo chafu kisha nazifua,kama wewe unafua za kwako basi mkeo ana bahati ya nguruwe kuchimba muhogo bila jembe.
Ha ha ha dah bora umemjibu kwakweli mi nlikua nshapata kigugumizi, mito Ndio inakuaga hivi teh
 
Last edited by a moderator:
evelyn salt"" hayo yote ni sawa kabsa. lkn ili yadumu na yawe na nguvu na uwe tofauti na wengne ni lazma Ukikabidhi Kwa Mungu,maana Hayo Unayofanya Wapo Ambao Wanaweza Kufanya Zaidi.

Wito Wng Kwako Mpeni Yesu Maisha Yenu Nae Atawaongoza Vema.

Amina mtumishi
 
Nilikuwa sijamsoma vizuri Evelyn Salt, kumbe nature ya kazi yake pia inachangia, ana muda mwingi wa kukaa home.

Manake nilikuwa najaribu kufikiria ratiba ya wifiyo na mimi mwenyewe, ni kwamba hazipishani, tunaondoka asubuhi asubuhi tunarudi late in the evening, wote hoi bin taabani. Sasa muda wa kunifanyia hayo yote atautoa wapi, labda asilale kabisaaa!!! So mengi tu najiongezaga mwenyewe and I don't see a problem

Aliyesema ndoa haina fomula hakukosea I think

Eeeh baba kazidi nayo inaruhusu, muda mwingi nipo home.....
images (1).jpg
Wapi kujisifia teh ngoja apaone yule muhaya
 
Last edited by a moderator:
evelyn salt"" hayo yote ni sawa kabsa. lkn ili yadumu na yawe na nguvu na uwe tofauti na wengne ni lazma Ukikabidhi Kwa Mungu,maana Hayo Unayofanya Wapo Ambao Wanaweza Kufanya Zaidi.

Wito Wng Kwako Mpeni Yesu Maisha Yenu Nae Atawaongoza Vema.
 
Ha ha ha loya nshatoa mfano mmoja naogopa kuongea sana nisijevuka mipaka lol
Okay kingine ambacho nabaki mdomo wazi ye anapenda sana kuwa bize na simu kwangu sio ishu, nipo nae but very bize whatsapp na jf... Mi nikishika simu Oooh analalamika nashinda jf nashinda instagram ha ha ha ha nicheke kama mazuri, juzi nite tulikua somewhere akawa anapiga story na watu story ambazo Sina ideas so I decided kuchukua simu nicheki cheki jf nkashangaa anatuma msg unaniboa sana kuwa bize na simu lol wakati ol the time ye kashika simu yupo bize teh

i notice something....anapalilia sababu sku mmea ukikua mkubwa usijeshangaa umefikaje hapo...be care bibie jicho lake la tatu halipo kwako!
 
Ha ha ha dah bora umemjibu kwakweli mi nlikua nshapata kigugumizi, mito Ndio inakuaga hivi teh

Hapo sawa nimeelewa sasa Evelyn Salt na Patience123

Mi naendaga na boksa kwa bafu ndo maana nilikuwa napata shida kuimagine. Anyway, that's your life, as long as you are happy with it, then there is no problem at all.

Ila yote tisa, kumi nimegundua mna advantage ya muda, I mean nature ya kazi yako pia inachangia. Otherwise, you could spend the whole night doing those stuff, kama una moyo wa kuzifanya lakini.
 
Last edited by a moderator:
I'm a married woman and I do all these,uzoefu ni kuwa,akivua nguo kwenda kuoga anavua na boksa shwaaaaaaaa anachomoa miguu anaiacha hapo chini imekaa kama kibakuli,anafunga towel anaingia bafuni. Ninacollect na kuweka kwenye tenga la nguo chafu kisha nazifua,kama wewe unafua za kwako basi mkeo ana bahati ya nguruwe kuchimba muhogo bila jembe.

No ni suala la kuelewa tu na kujiongeza. Nina imani ungekuwa unafanyakazi kama ya mke wangu usingeweza kufanya shughuli zote hizo, si kwa kupenda bali kwa kukosa muda
 
Back
Top Bottom