Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?


Sidhani kama nimelalamika, point yangu ni kulalamikiwa....nimekuelewa lakini ntafanya yangu mengine ntaacha yapite make labda yapo nje ya uwezo wangu
 
That's my gelofriend.....
Addition kidunchu ni sawa kuambiwa pale nnapokuwa sijawajibika ipasavyo but niambiwe sasa "kuwa sijafanya hiki nilitakiwa nifanye na hiki, au nimefanya hiki ila sivo ilitakiwa kiwe hivi" that's very okay na ndio nataka ila sio tu kupewa neno kavu "hunihudumii" huduma ipi sasa jamani mpesa au luku ha ha ha ncheke kama mazuri
 
Teh labda huduma ya cheka bombastic. Ila yana mwisho wake gelofriend, Mungu ni mwema
 
duh,,,,, hongera sana.....kumbe kuna wanaume wanapewa huduma ya kunawishwa mikono....raha iliyoje......ila asije ,,,,,,,
 
Mwe mwe mwe mweeeeeh!! Basi mie itabidi nipelekwe the heg kabisaaaaaa!
 
bora wewew the hague,kuna wanaotakiwa kunyongwa kabisa teh teh

Yaani kuwa mwanamke tu ni zaidi ya ajira, alafu bado kuna wanaofungua thread wakilalamika eti wanawake ni bahiri!!!
 
Yaani sijafikia hata robo ya ufanyayo, sasa kama wafanya yote hayo na bado ukalalamikiwa mie si ndio basi tena!

Kwanini usifanye? Mbona ni majukumu yako mwanamke
 

wewe hapo sasa umenielewa vizuri sana. Si lazima kile tunachowafanyia wapenzi wetu kinawakuna. Hii haijalishi kiwango cha nguvu au pesa zako ulizowekeza.
 


Kumbe ni hayo?

Sidhani kama ataacha kulalamika kwani anafanyiwa zaidi ya mfalme. Kwani mahari alitoa ng'ombe wangapi?

in short that's too much na atakulalamikia milele!
 
Kumbe ni hayo?

Sidhani kama ataacha kulalamika kwani anafanyiwa zaidi ya mfalme. Kwani mahari alitoa ng'ombe wangapi?

in short that's too much na atakulalamikia milele!

Babu jamani mmmh
 
Umeset viwango ambavyo vitakutesa maisha yako yote.

Babu mbona mi sioni tatizo kwenye hayo , yani mi naona ni majukumu ya kawaida kama kupika, kufanya usafi ndani sioni tatizo....mmh basi maisha ni complications tu haieleweki, ukifanya majukumu tatizo ukikaa miguu juu tatizo kubwa Uuuh
 
sasa mi wa kwangu ni mlalamikaji zaidi ya huyo wa kwako,maana shughuli zote zinazomhusu yeye azifanya mwenyewe nguo zake zote nazifua mimi,nazipasi,nampikia,chumbani kusafi na bado naenda job sasa unakuta asubuhi mnaenda kazin unamhudumia yeye kwanza then wewe utashangaa mtu kashawasha gari hata hakusubiri na bado anataka na mshahara wako!hivi viumbe jamani,mungu awasamehe maana mnataka kutumikiwa zaidi ya mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…