GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
Sisi waislamu katika dini yetu inasema kazi ya mwanamke ni moja tu,mengine ni mume, lakini mtume wetu muhammad (s.a.w) amewaasa Wanawake kuwafanyia ihsani kama yako,na malipo mbele ya mungu ni makubwa mno, m/ ke unapo kuwa kwa wazee pepo yako iko chini yao, na unapo kuwa kwa mume ipo chini ya nyayo za mume.
Kila unapo mfanyia mazuri mume barka huwa ni kubwa na always munakuwa watu wenye furaha na mafanikio, katika maisha ya ndoa kuna mambo mawili ambayo yanaweza kuwabadilisha kimaisha.
Mwanamke anaweza kumfanya mume awe tajiri au uwezo mzuri tu au kutoka hali alio nayo na ku improve zaidi.
La pili mwanamke anaweza kumfanya mume kuwa fukara na maskini.
Na hivi ni vitu vya ukweli kabisa, tumeamrishwa kuowa wake wazuri wenye dini,huruma na mapenzi, tumeamrishwa tuzae na tusiogope umasikini, kwani Allah subhana Wataala ndio mtowaji rizki. I believe in God.
Tufanyie mazuri zaidi mupate malipo na sisi tupate mafanikio na malipo.
Kila unapo mfanyia mazuri mume barka huwa ni kubwa na always munakuwa watu wenye furaha na mafanikio, katika maisha ya ndoa kuna mambo mawili ambayo yanaweza kuwabadilisha kimaisha.
Mwanamke anaweza kumfanya mume awe tajiri au uwezo mzuri tu au kutoka hali alio nayo na ku improve zaidi.
La pili mwanamke anaweza kumfanya mume kuwa fukara na maskini.
Na hivi ni vitu vya ukweli kabisa, tumeamrishwa kuowa wake wazuri wenye dini,huruma na mapenzi, tumeamrishwa tuzae na tusiogope umasikini, kwani Allah subhana Wataala ndio mtowaji rizki. I believe in God.
Tufanyie mazuri zaidi mupate malipo na sisi tupate mafanikio na malipo.