Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Babu mbona mi sioni tatizo kwenye hayo , yani mi naona ni majukumu ya kawaida kama kupika, kufanya usafi ndani sioni tatizo....mmh basi maisha ni complications tu haieleweki, ukifanya majukumu tatizo ukikaa miguu juu tatizo kubwa Uuuh

Utamudu kutoa hizo services hadi uwe ajuza? Na usipotoa ukalalamikiwa ni sawa. Haina tofauti na kulipia ice cream ukaletewa ubuyu!
 
sasa mi wa kwangu ni mlalamikaji zaidi ya huyo wa kwako,maana shughuli zote zinazomhusu yeye azifanya mwenyewe nguo zake zote nazifua mimi,nazipasi,nampikia,chumbani kusafi na bado naenda job sasa unakuta asubuhi mnaenda kazin unamhudumia yeye kwanza then wewe utashangaa mtu kashawasha gari hata hakusubiri na bado anataka na mshahara wako!hivi viumbe jamani,mungu awasamehe maana mnataka kutumikiwa zaidi ya mungu

Huduma zote hizo kwani yeye ni mlemavu?
 
Mmmm what a wife! That guy should be veryyyy and I mean very greatful! Asichezee shilingi chooni! Wenzie waota wake wa design hio but never live to have them! And others await eagerly for one's silly mistake to have the last laugh! As they say the last laugh is the best! As you stare blindly to such bliss others are staying awake storming on such opportunities! For u miss congrats! I would love to have someone of your type!
 
Sasa naanza kumuelewa housegirl

Yani nikaeeee...........Oh well I'll just brush my husband's shoes. Haha. I'm never that bored.

Anyways she genuinely believes ni wajibu wake and she's happy with it...

evelyne Salt mwaya hongera kwa kutimiza wajibu.... Lakini ni wako peke yako sio wanawake..

TAFADHALI, people fought hard for the freedom we've today, usiturudishe huko.
 
Last edited by a moderator:
WOTE wanaomfurahia mleta Mada ni mivivu tu... Inataka ikaeee isifanye kitu....
 
Yani nikaeeee...........Oh well I'll just brush my husband's shoes. Haha. I'm never that bored.

Anyways she genuinely believes ni wajibu wake and she's happy with it...

evelyne Salt mwaya hongera kwa kutimiza wajibu.... Lakini ni wako peke yako sio wanawake..

TAFADHALI, people fought hard for the freedom we've today, usiturudishe huko.

WOTE wanaomfurahia mleta Mada ni mivivu tu... Inataka ikaeee isifanye kitu....


We pasua kichwa tu.
 
Hapo hamna mapenzi, anakuzingua huyo mwenye mapenzi ya kweli lazima atambue na kukithamini unachofanya. Mwanaume gubu mpk kero. Mfyuuuuuuuuuuu
 
Huduma zote hizo kwani yeye ni mlemavu?

Shikamoo babu Dark City
Hata mimi nilikuwa suprised alot tu, ukishamzoesha mwanaume asiyena shukrani hivyo aisee utakuwa kama mtumwa wake, mana majukumu huzidi pia with age,watoto wataongezeka kazi zitaongezeka pia.

Nashukuru wangu ni wa tofauti hapendi kufanyiwa kila kitu, tunasaidiana karibia kila kitu(na sio kwamba namuambia fanya hivi as siwezi, nooo ni kwa mapenzi yake tu), nahisi na namna alivyolelewa pia maana wazazi wao waliwalea kuwa responsible since utotoni.
 
Last edited by a moderator:
Shikamoo babu Dark City
Hata mimi nilikuwa suprised alot tu, ukishamzoesha mwanaume asiyena shukrani hivyo aisee utakuwa kama mtumwa wake, mana majukumu huzidi pia with age,watoto wataongezeka kazi zitaongezeka pia.

Nashukuru wangu ni wa tofauti hapendi kufanyiwa kila kitu, tunasaidiana karibia kila kitu(na sio kwamba namuambia fanya hivi as siwezi, nooo ni kwa mapenzi yake tu), nahisi na namna alivyolelewa pia maana wazazi wao waliwalea kuwa responsible since utotoni.

Hata kama angekuwa na shukrani kiasi gani, ukifanya kuwa hayo ni majukumu yako na yanakuwa ni wajibu wako pia. Usipotanya unaonekana mzembe au umeanza tambia mbaya. Lazima ulaumiwe.
 
Mbwa mzee kujifunza mbinu mpya hili nalo tatizo tena tatizo kubwa.

Huwa naona real men The Boss akiwa among wanasema mwanaume anahitaji mambo matatu: food, sex and space.

Katika hayo mambo kwakweli am doing the best inawezekana kabisa nina mapungufu yangu ila am doing the best kwakweli, food, napika japo sio bonge moja la mpishi kama farkhina but I cook tena delicious ones, sex hii si kuwa tu ni wajibu ila ni hobby yangu kitu ikiwa hobby kifuatacho itv ni known kabisa, space hapa kidogo pananishinda japo najitahidi ila sio kwa fungulia doggy, anaechungwa ni mbuzi kwa binadamu tunafanya kukaba tu japo kukaba kwenyewe ni kulinda bahari ila hivo hivo tu almradi kuna kibao "Punguza mwendo kazi inaendelea mbele" tunapunguziana speed natoa space kwa kiasi Chake may be majukumu yakinizidi itakua zaidi ya hapo.

Apart from hivo vitatu nafanya na mengineyo mengi napika mwenyewe simuachii dada wa kazi, mezani naweka mwenyewe kumake sure kila kitu kipo sawa, nguo nasaidiwa kufua ila boxa nafua mwenyewe, nanyoosha mwenyewe, asubuhi naanda maji ya moto napeleka bafuni (bafu halina heater) muda huo nshaweka nguo za kazini standby na viatu nimebrush kabisa mara chache naandaa Chai sio kila siku kwasababu ni mvivu kula BADILI TABIA bila shaka unanishangaa sana make haya mambo hautajagi ha ha ha nishangae tu ukinishangaa nami na kushangaa.

Swala la heshima na kujali nikijifanyia assessment najiona nina 99%,i do respect him much, much kwakweli nikijilinganisha na ndugu, jamaa na rafiki am the best, naweza kuwavisit katikati ya maongezi mara wachambane na waume zao mara wawafokee kitu ambacho mi huwa nashangaa unawezaje kumchamba mmeo au kumfokea mbele za watu mmh sijawahi na sitakaa nithubutu nikikereka nangoja tukiwa wawili nikiona nachelewa kutoa dukuduku naandika meseji.

Kuna shost angu alishawahi kunitembelea akaishia kunishangaa inakuaje nanyoosha nguo za baby dady yeye wanaishi wote ila hajawahi kumfulia wala kumnyooshea nikamshangaa pia na kuzidi kujiona am the best mie ni "mwanamke" hizi huduma nazionaga kwa wamana watu wazima ndo wanawalea waume zao ila mie kwa age yangu tu hii najiona nipo kama mama lowasa ha ha .

Point yangu what else should I do? Pamoja na kujiona mwanamke, najiona kama mama Lowassa ila bado nalalamikiwa jamani wanaume zaidi ya haya kunakuna yapi tena?au ni human nature tu kwamba hatunaga kuridhika? Au kunanii?
Dah shemeji eti hii story yako was turning me on wakati nasoma
 
sasa mi wa kwangu ni mlalamikaji zaidi ya huyo wa kwako,maana shughuli zote zinazomhusu yeye azifanya mwenyewe nguo zake zote nazifua mimi,nazipasi,nampikia,chumbani kusafi na bado naenda job sasa unakuta asubuhi mnaenda kazin unamhudumia yeye kwanza then wewe utashangaa mtu kashawasha gari hata hakusubiri na bado anataka na mshahara wako!hivi viumbe jamani,mungu awasamehe maana mnataka kutumikiwa zaidi ya mungu

Kwamba anawasha gari anakuacha eeeh huyo kiboko
 
Utamudu kutoa hizo services hadi uwe ajuza? Na usipotoa ukalalamikiwa ni sawa. Haina tofauti na kulipia ice cream ukaletewa ubuyu!

Babu mi sijui til when, ila hivo ndivo nilivo yani hata hiyo na fasi yake ndo ungekuwapo wewe babu DC ningekuwa hivo hivo....we mtu mzima bila shaka umenielewa ndivo nilivo yani ndio maana hata sioni shida
 
Yani nikaeeee...........Oh well I'll just brush my husband's shoes. Haha. I'm never that bored.

Anyways she genuinely believes ni wajibu wake and she's happy with it...

evelyne Salt mwaya hongera kwa kutimiza wajibu.... Lakini ni wako peke yako sio wanawake..

TAFADHALI, people fought hard for the freedom we've today, usiturudishe huko.

Kumpikia mmeo, kumtayarishia nguo, maji n.k ni utumwa???? Ooopsss kama ni utumwa nipo tayari kufungwa minyororo na kuchapwa mijeredi.....is there anywhere nimeandika huo ni wajibu wa kila mwanamke???nah huo ni wajibu wangu mie ES
 
Last edited by a moderator:
Babu mi sijui til when, ila hivo ndivo nilivo yani hata hiyo na fasi yake ndo ungekuwapo wewe babu DC ningekuwa hivo hivo....we mtu mzima bila shaka umenielewa ndivo nilivo yani ndio maana hata sioni shida

Kama ndivyo ulivyo basi endelea tu mdogo wangu. Ila ukilalamikiwa usijisikie vibaya, ni kwa sababu unakuwa hujatimiza wajibu kikamilifu.

Bahati mbaya mie nisingekubali kwa sababu sipendi kujitegemeza kwa mtu ambaye sina uhakika wa kuwa naye milele.
 
Kumpikia mmeo, kumtayarishia nguo, maji n.k ni utumwa???? Ooopsss kama ni utumwa nipo tayari kufungwa minyororo na kuchapwa mijeredi.....is there anywhere nimeandika huo ni wajibu wa kila mwanamke???nah huo ni wajibu wangu mie ES

Ni aina fulani ya utumwa ila kwa sasa huwezi kuelewa
 
Teh gelofriend bila shaka hata ye ukimuuliza anaweza kua hajui may be nikupe kamfano kadunchu jana mchana mida ya kula nimemnawisha mikono nikampakulia akaanza kula mara kidume cha mbegu kinazunguka pale (our son) nikamchukua kumlisha daddy kamaliza kula mie namlisha mtoto akaanza kunawa mwenyewe eeh nkashangaa analalamika kuwa anajinawisha mwenyewe simhudumii au nlitakiwa nimuache kidume cha mbegu nimnawishe? Maisha ni magumu mweh.... Kuna vitu vidunchu ila vinaumizaga kichwa unaweza hata usilale unakiwaza tu japo kidogo

Yani leo nna masikitiko kujua umeolewa na tena umeshajifungua kabisaa?

Siku zote nlikuwa najua we ni bikira. Posa niliyosanya naenda kuinywa leo.
 
Yani leo nna masikitiko kujua umeolewa na tena umeshajifungua kabisaa?

Siku zote nlikuwa najua we ni bikira. Posa niliyosanya naenda kuinywa leo.
Unaijua kaisiki lakini? Anaesema haifanyi kazi alikosea masharti
 
Back
Top Bottom