NALENDWA hauko ROMANTIK kabisa dada yangu

Kipindi hicho ulipoteaga sana jf kama unakumbuka vizur kuna kipindi haukuwa hewan

Uzi wako na wewe unakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kichwa kingine kinaitwa Sooth huyu sijui kapotelea wapi ni ndege wa aina moja na Nalendwa pamoja na Heaven Sent


Nawaelewa sana hawa kina dada/mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Awwwww yani usiku wangu umekuwa amazing ghafla kwa sababu ya hizi comments zenu. This means a lot to me; I truly appreciate dears.
Heaven Sent ni wife material
Ni kweli halafu upstairs yupo poa sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nikute sasa mimi kwenye jukwaa la kubeti walahi sijui kama nitaandikwa hivi dah kuna watu wamebarikiwa

Ngoja mimi nirudi kutandika mikeka kule

Nimecheka sana hii comment [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wa kumuua Arsenali sijui kama tunakumbukwa humu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…