Sanaaa mkuu yani hata nikiyasoma huwa nasisimka kabisaHahahahahaaaa mkuu we noma sana hivi mambo ya vita huwa yankupa mzuka sana?
Hahaha... Leo tumerusha Musiba Submarine Launched Ballistic missiles
Hao ndo aina ya wadada tunaowahitaji kwa sasa kwenye Taifa hili na Zama hizi...Sio wale wa kupewa favor kwenye Viti maalum
[emoji23] Asee hilo jukwaa kila nikijarbu kulichunguliaga sijawahi kulielewaga[emoji38]Mfunde bana tunamhitaji sana MMU
Hahahaaaa unajua mimi huwa nakuogopa ile mbaya nalendwa maana story zako si za nchi hii
That's romantic..Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Wadau za pilika zinasemaje?
Kuna dada yangu mmoja kutoka kolomije anaitwa nalendwa huyu dada ni mrembo lakin hayuko romantik kabisa hata kidogo
Kwanza mda wote utamkuta jukwaa la kimataifa akijadil habar za vita na akina kokuyo na group lao. Yaan ndege zote za kivita za kimarekan, kirus na kiisrael anazijua
Makombora yote ya masafa marefu ya bwana kim anayajua
Yaan manowar zote za mrus anazijua had majina yake
Alafu kinachonisikitisha zaid lugha anayotumia ni kizungu tu
yaan iran akizindua bom jipya tiar nalendwa utakuta kashajua linauwezo gan na linaweza hata piga yerusalem
Nalendwa anamjua had wazir wa ulinz wa iran na marekan, anajua had ni nan yuko nyuma ya vita inayoendelea huko mashariki ya kat
Cha pili yeye mda wote yuko jukwaa la michezo akijadil sijui man city itapigwa mkono na man u, sijui mara lukaku ni noma hata mess hamfikii na story zingine kuhus mchezo
Iv kweli wadau ukiwa na demu kama NALENDWA unaweza hata kumudanganya kitu kuhusu michezo na makombora ya masafa marefu?
.raha ya demu awe hajui chochote kuhusu mchezo na habar za kivita
Sasa huyu nalendwa hii tabia kaitoa wapi?
Badilika bhana nalendwa yaan kiukweli hauko romantik kabisa msukuma mwenzangu
LONDON BOY
Bwana mdogo, Hadi leo haujajua namna ya kuwatambua wanaume wanaotumia ID za kike?Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Wadau za pilika zinasemaje?
Kuna dada yangu mmoja kutoka kolomije anaitwa nalendwa huyu dada ni mrembo lakin hayuko romantik kabisa hata kidogo
Kwanza mda wote utamkuta jukwaa la kimataifa akijadil habar za vita na akina kokuyo na group lao. Yaan ndege zote za kivita za kimarekan, kirus na kiisrael anazijua
Makombora yote ya masafa marefu ya bwana kim anayajua
Yaan manowar zote za mrus anazijua had majina yake
Alafu kinachonisikitisha zaid lugha anayotumia ni kizungu tu
yaan iran akizindua bom jipya tiar nalendwa utakuta kashajua linauwezo gan na linaweza hata piga yerusalem
Nalendwa anamjua had wazir wa ulinz wa iran na marekan, anajua had ni nan yuko nyuma ya vita inayoendelea huko mashariki ya kat
Cha pili yeye mda wote yuko jukwaa la michezo akijadil sijui man city itapigwa mkono na man u, sijui mara lukaku ni noma hata mess hamfikii na story zingine kuhus mchezo
Iv kweli wadau ukiwa na demu kama NALENDWA unaweza hata kumudanganya kitu kuhusu michezo na makombora ya masafa marefu?
.raha ya demu awe hajui chochote kuhusu mchezo na habar za kivita
Sasa huyu nalendwa hii tabia kaitoa wapi?
Badilika bhana nalendwa yaan kiukweli hauko romantik kabisa msukuma mwenzangu
LONDON BOY
[emoji122][emoji122][emoji122]aiseeee lakini huyo ndiye aina ya mwanamke ambaye mwanaume anayejitambua anapaswa kuwa naye
binafsi huwa sipndi wanawake wenye mambo mambo mengi yakujifnya watoto wamjini kupitiliza ...muda mwingi wanashirikisha fkra zao ktk mambo yasiyo na tija yakina wema sepetu .zari ..cjui alikiba ..hamisa mobeto ..party kila Siku yaani huwa tunawaita mapaka ..hao hapana aiseee
Ni kweli lkn changanyika na raia kila pande washangae hata chura yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] ukiwa umeshikilia bunduki kila siku watutisha ujue.Nyie watu lakini! [emoji1]
Sasa ni vizuri kujua nini kinaendelea duniani jamani!
Hahaha...kitu Cha Musoma hicho[emoji38]
hahaha eti mada zake za kinaz [emoji23][emoji28][emoji23]Kweli kabisa huyu ze kukoyo ndo huwa anakuponza akiweka maada zake za kinaz kuhusu USA
Pamoja sana[emoji120]Aww!, wewe pia sana tu kokuyo! [emoji120]
hahahaa huwezi kuwaelewa ..mtu anayemezesha ubongo wake mavitu mazito kama wewe vile ningumu kuzielewa haabari za uvunjifu wa amri ya 6[emoji23] Asee hilo jukwaa kila nikijarbu kulichunguliaga sijawahi kulielewaga[emoji38]