wadau hawa nacte wana mpango gani.....vyuo nlivochagua vimetoa selection mie cpo...kimebaki kimoja tu ambacho ni N.I.T ambayo nlifanya chaguo namba moja na mbili...nikikosa apo ndo baaaas ntabeba zege mtaani daaaah hatari kweli hii
mambo vp mkuu saidry pliz punguza kuwa na presha kama kweli ulichagua nit kama first and second selection, basi umeshapata nafasi.. Mpaka sasa chuo kinafunguliwa trh 21 october.. Karibu sana mabibo!
Vp lakn coz gan ulichagua?
mambo vp mkuu saidry pliz punguza kuwa na presha kama kweli ulichagua nit kama first and second selection, basi umeshapata nafasi.. Mpaka sasa chuo kinafunguliwa trh 21 october.. Karibu sana mabibo!
Vp lakn coz gan ulichagua?
wadau hawa nacte wana mpango gani.....vyuo nlivochagua vimetoa selection mie cpo...kimebaki kimoja tu ambacho ni N.I.T ambayo nlifanya chaguo namba moja na mbili...nikikosa apo ndo baaaas ntabeba zege mtaani daaaah hatari kweli hii
mambo vp mkuu saidry pliz punguza kuwa na presha kama kweli ulichagua nit kama first and second selection, basi umeshapata nafasi.. Mpaka sasa chuo kinafunguliwa trh 21 october.. Karibu sana mabibo!
Vp lakn coz gan ulichagua?
Nisahihi hiyo tarehe ya kufungua mkubwa? mana hata mimi nilichagua kama first choice PROCUREMENT na second hapohapo BBA, mana nina ka DIPLOMA ka procurement GPA 3.7
kuuliza co ujinga hv mtiti wa BBA ukoje kuhusu ajira??
Ni kozi ambayo ki ujumla unasoma mambo mengi ndani yake eg marketing, procurement, hr na accounts kidogo kwa ujumla ni nzuri
wadau hawa nacte wana mpango gani.....vyuo nlivochagua vimetoa selection mie cpo...kimebaki kimoja tu ambacho ni N.I.T ambayo nlifanya chaguo namba moja na mbili...nikikosa apo ndo baaaas ntabeba zege mtaani daaaah hatari kweli hii
Ivi ni kweli man, NACTE watatoa wiki ijayo ?
Kama mimi mkuu, yani niliomba DIT na UDSM alafu pote sipo yani, na majina ya waliokosa sipo. Now nimetoka DIT kuangalia majina napo simo katika kozi nilo omba... yani nimebaki nashaa tu... ngoja niendelee na kazi maana huu ni uhuni...
mkuu saidry, logistics ni course ambayo mwanzo mwisho imejaa mathematics kuanzia statistics, accounting, economics, finance, business mathematics na mengineyo.. please nakuomba usiwe na pressure coz kila kitu ni juhudi za mtu mwenyewe.. KUMBUKENI KUNUNUA SCIENTIFIC CALCULATORS!!!!!! moja kati ya koz nzuri basi ni hii!mi mvivu wa hesabu...hyo logistix and transport mngnt vp wadau???au kuna ma accounts uko nianze kupostpone mapemaaa kbl ht xjachaguliwa
bwana ngumukumeza ni sahihi kabisa hiyo tarehe ya kufungua.. hizo ni true detail ambazo tumezitoa kwa uongozi wa chuo!! karibu sana nit!Nisahihi hiyo tarehe ya kufungua mkubwa? mana hata mimi nilichagua kama first choice PROCUREMENT na second hapohapo BBA, mana nina ka DIPLOMA ka procurement GPA 3.7
bwana ngumukumeza ni sahihi kabisa hiyo tarehe ya kufungua.. hizo ni true detail ambazo tumezitoa kwa uongozi wa chuo!! karibu sana nit!
mr johnshedo kama kweli ulikuwa na vigezo vya kuingia pale, basi nit ushaingia.. cha msingi, wote ambao mmechagua pale inabidi mwende chuoni kabisa mabibo mwisho then mchukulie joining instructions kwa bwana benja(huyu ndiye atakayekuwa anawasajili).. @cc ngumukumeza saidry isqo omy na wengineo ambao mmechaguliwa hapa nit!dah.. mm nishajichek kote pia.. nimebakiza hapo tuu tena first choice.. dah.. presha tupu...:Cry: