Nalia na Utumishi

Nalia na Utumishi

Lameckjr

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
133
Reaction score
247
Habari zenu wadau,

Jamani nimeandika huu ujumbe maana sasa imekuwa kisanga kwanza ni mwaka sasa nahangaika na mfumo wa ajira portal bila mafaniko na kila nikiwapigia siimu hawapokei, nourishing kipipigwa block tu. Nimejaribu kwenda pale DSM, posta kwenye ofisi za utumishi nikaambiwa niende Dodoma.

Mwenye msaada ajitokeze

Screenshot_20211117-180753_Samsung Internet.jpg
 
Ingia kwenye kile kipengele cha academic qualifications uweke number yako ya mtian wa advance kwa kuandika kama alivyoelekeza.Ufuate hiyo format elekezi hapo.
 
Ningekuwa nayo nisingepost humu kuomba msaada mkuuu
Hujanielewa kabisa..
Namanisha skuiz interview za utumishi znafanyika dodoma.
Ukishamaliza hayo matatzo yako utaweza kwenda dodoma kuzifuata interview.
 
Hujanielewa kabisa..
Namanisha skuiz interview za utumishi znafanyika dodoma.
Ukishamaliza hayo matatzo yako utaweza kwenda dodoma kuzifuata interview.
Ninaweza kuzifuata ndio
 
Huu pia ni ujenzi!

Enewei, ndiyo maana wamekupuuza…. tatizo la Index Number huelewi utafaa kazi gani?
 
Unapoweka namna yako usiache nafasi pia pale kwenye separator weka dash instead of /
 
Habari zenu wadau,

Jamani nimeandika huu ujumbe maana sasa imekuwa kisanga kwanza ni mwaka sasa nahangaika na mfumo wa ajira portal bila mafaniko na kila nikiwapigia siimu hawapokei, nourishing kipipigwa block tu. Nimejaribu kwenda pale DSM, posta kwenye ofisi za utumishi nikaambiwa niende Dodoma.

Mwenye msaada ajitokeze

View attachment 2015314
Mbona ujumbe uko self explanatory mzee.
Umeeka vyeti vyako vya advance na sekondari?
 
Habari zenu wadau,

Jamani nimeandika huu ujumbe maana sasa imekuwa kisanga kwanza ni mwaka sasa nahangaika na mfumo wa ajira portal bila mafaniko na kila nikiwapigia siimu hawapokei, nourishing kipipigwa block tu. Nimejaribu kwenda pale DSM, posta kwenye ofisi za utumishi nikaambiwa niende Dodoma.

Mwenye msaada ajitokeze

View attachment 2015314
Index number ya form 4/ 6 unaijua kweli? Kama unaijua nenda katika kipengele cha academic qualification ijaze kwa format iliyo katika hiyo picha yako
 
Achana na ishu ya kutafuta ajira...njoo tuwe tunapiga nyoka mafuta..tunauza..mtaji ni mbio zako tu na roho ngumu kama jiwe
 
Hili tatizo limenisumbua pia jaribu kujaza tena kama walivokuelekeza hapo, nilihangaika sikuelewa pia lakin mwisho wa siku nilivojaza walivotaka ilikubali
 
Tatizo langu ni kuupload picha, mara ya kwanza ilikua kubwa baada ya kupunguza inagoma kuupload
 
Back
Top Bottom