Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?
 
Tukiachana na ushabiki domo cku izi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nymbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo....????

Dah we jamaa we,inawezekana kweli anatoa nyimbo mbovu kama unavodai,lakini huoni kwamba jamaa licha ya kutoa izo nyimbo unazoziiita mbovu bado anaendelea kuwa juu?jibu dogo tu jamaa inawezekana hajui mziki km usemavyo lkn,jamaaa anaijua vyema biashara ya mziki na industry inavokwenda kwa ujumla!sasa ww endelea tu na tuhuma zako za kila siku kuhusu eti anguko lake...nazani hii kauli ya Anguko mtaendelea kuisema uku pia mkishuhudia jamaa anazeeka akiwa bdo star anayehit akiwa na heshima kubwa sna ndani na nje ya tz...@jeutanipendaga?
 
Naufikiria ule wa mawazo nalinganisha na utanipenda!!mmh
 
Kuna watu walipata div one kidato cha nne na six ila kwa sasa wamemaliza chuo na wako mtaani wanatafuta kazi ila kuna waliokuwa wakipata division three na sasa ni mabosi makazini! Diamond anajua afanye nini kwa wakati gani? Yawezekana hajui mziki kama hao wasanii wenu mnaowapenda yes lakini anajua kucheza na soko la mziki na hiyo itamfanya aendelee kuwa juu miaka mia! Nyie team kiba mapovu yatazidi kuwatoka sana jamaa yenu anawaangusha na atazidi kuwaangusha milele
 
Kuna watu walipata div one kidato cha nne na six ila kwa sasa wamemaliza chuo na wako mtaani wanatafuta kazi ila kuna waliokuwa wakipata division three na sasa ni mabosi makazini! Diamond anajua afanye nini kwa wakati gani? Yawezekana hajui mziki kama hao wasanii wenu mnaowapenda yes lakini anajua kucheza na soko la mziki na hiyo itamfanya aendelee kuwa juu miaka mia! Nyie team kiba mapovu yatazidi kuwatoka sana jamaa yenu anawaangusha na atazidi kuwaangusha milele

Kutoa Audio mbovu ndiyo kujua mziki mmmh hebu tuwacheke kwa dharau hehehehehe
 
kusema kweli mpenzi wa Mungu video kali ila audio mbaya nlitegemea angetengeneza mahadhi ya Zouk ingekua tamu ka ukimwona..

Good idea, bad song
 
Huu wimbo kiukweli jaman tuache na ushabiki mhhh mie kwangu big NO
 
Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?

kweli yani....diamond wa kamwambie, mbagala...mawazo..lala salama...tamani....nitarejea....binadamu...ile rmx ya davido...alikua noma sana...a asaivi hamna kitu
 
kweli yani....diamond wa kamwambie, mbagala...mawazo..lala salama...tamani....nitarejea....binadamu...ile rmx ya davido...alikua noma sana...a asaivi hamna kitu

Alikua bora kuliko wa Ntampata wapi, mdogo mdogo, nasema nawe, nana?

Acha kujitia upofu mkuu
 
Alikua bora kuliko wa Ntampata wapi, mdogo mdogo, nasema nawe, nana?

Acha kujitia upofu mkuu

awapi hamna kitu sasa iyo nyimbo yupo na hadija kopa si taarabu sasa mwanaume utaimbaje taarabu kama sio msengee baridi
 
Back
Top Bottom