Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?

Alipotoa Ntampata wapi watu waka diss sana ikazoa matuzo kimataifa

Akatoa Nasema nawe watu wakatukana sana oooh taarab
Ikazoa tuzo kimataifa

Akatoa Nana ikapigwa sana madongo lakini ikampa matuzo hadi pakuweka akakosa

Sasa Utanipenda nayo mtaipenda tu


Mkuu msichojua kuhusu Chibu ni kwamba sio muimbaji mzuri kivile lakini anaijua biashara ya muziki
Hataka kama sio mwimbaji mkali lakini anajua wapenzi wake wanataka nini na anawapatia kwa wakati

Take it from me baada ya mwezi viewers youtube watakua zaidi ya milioni moja
Ukipita mitaani baada ya mwezi hata mwanao atakua anuimba wimbo wote kuanzia mwanzo hadi mwisho wakati huo waimbaji wanaojua kuimba kama Ali kiba na Bela wimbo wao labda utakua na viewers laki 2 sababu hawajui kucheza na soko la muziki
 
Alipotoa Ntampata wapi watu waka diss sana ikazoa matuzo kimataifa

Akatoa Nasema nawe watu wakatukana sana oooh taarab
Ikazoa tuzo kimataifa

Akatoa Nana ikapigwa sana madongo lakini ikampa matuzo hadi pakuweka akakosa

Sasa Utanipenda nayo mtaipenda tu


Mkuu msichojua kuhusu Chibu ni kwamba sio muimbaji mzuri kivile lakini anaijua biashara ya muziki
Hataka kama sio mwimbaji mkali lakini anajua wapenzi wake wanataka nini na anawapatia kwa wakati

Take it from me baada ya mwezi viewers youtube watakua zaidi ya milioni moja
Ukipita mitaani baada ya mwezi hata mwanao atakua anuimba wimbo wote kuanzia mwanzo hadi mwisho wakati huo waimbaji wanaojua kuimba kama Ali kiba na Bela wimbo wao labda utakua na viewers laki 2 sababu hawajui kucheza na soko la muziki
Ukiona mtu anaiponda hiyo ngoma ni kwavile tu hajui emotional songs zinapaswa kuwa vp! Na kwa nyongeza ya hapo unaposema kwamba viewers zaidi ya 1 million ndani ya mwezi (possibly hao 1M ni ndani ya wiki 2 ) lakini kubwa zaidi hii ngoma itafanya vizuri sana East Africa wanakofahamu lugha na nje ya East Africa wataikubali kutokana na rhythm na melody yake ambayo moja kwa moja hata asiyeelewa kiswahili atafahamu kwamba ni emotional song!
 
Nasssssib Aaaabdul piga kaz bro maana watz wenzio tuna wivu wa maendekeo kila kukicha pia weng wetu tumekuw watabili wa maisha ya watu?..#hapakazitu
 
Kwangu nyimbo kali za Diamond
1. Kamwambie
2. Mbagala
3. Moyo wangu, hapa nilimkubali sana hususani upande wa wanavyocheza.
4. Mawazo
5. Mapenzi basi
6. Kizaizai
Zilizobaki kwa kweli sioni cha maana alichoimba labda My Number One.
 
Yatakuwa maajabu ya Mussa watu wale wale wanaompigaga madongo eti leo hii uwategemee wasifie nyimbo za DIAMOND wakati huo huo wanajaribu kuzilinganisha na nyimbo zake za zamani wakidai zilikuwa nzuri wanasahau kuwa hata hizo wakati zinatoka nazo wao wenyewe walikuwa wa kwanza kuziponda.Sasa chukueni hii kama DIAMOND hajui muziki yeye ndiye anayeongoza kwa sasa kwa kuchukua tuzo Afrika nzima kwa mwaka 2015,ndiye msanii watz anayelipwa pesa ndefu sana kwenye shoo kwa wasanii watz,ndiye anayeuza sana kwa sasa TZ,ndiye msanii mwenye mafanikio sana kwa TZ kwa sasa na hata hiyo nyimbo unayoiponda tayari imeshamuingizia pesa ndefu sana kabla ya hata haijafikisha mwezi. je UTANIPENDA NDIO NYIMBO ILIYOPO KWA SASA UMEIPENDA CHUKUA KAMA HUJAIPENDA IACHE HALAFU IANGALIE BAADA YA WIKI UTAJUI IPO WAPI.
 
Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?

U might ave very nice point but wengi wasilione hilo kwasababu ya ushabiki ama u-team,penye mapungufu lazima pasemwe,uzi huu kama atapita na kusoma basi utamsaidia kujua wapi pakuanza kupafanyia marekebisho,tatizo ni kwamba promotion anayoipata pitia godfather producer ni kupigiwa promo sana in the light kazi zake zisikike wordwide na ndo inayomfanya asikike sana, siku zote when promotion ikizidi kuliko ubunifu then utegemee kazi yako kuto kukaa sana sokoni na kuanza kuchuja mapema,something must be done hata kwa management yake wanaweza kulifanyia kazi hili kama wataona uzi huu.
 
Naona team bushman washaanza Ramli hahaha

Je utanipendagaaa...

Tukutaneni youtube kama vipi wadauu...
 
Mwaka wa 3 huu mnaongea kile kile... mwanzoni mlikuwa mnadai jamaa anatumia ushirikina na mlipona stori za ushirikina zime-expire mkaja tena na stori za kubebwa na scandal za mademu kabla hamjageukia kusema anatembelea nyota ya Wema!!! Miaka inapita, ramli zinaongezeka lakini jamaa ndo kwanza graph inazidi kupanda kabla ya hivi sasa kugegeukia kwamba anabebwa na Godfather as if huyo Godfather anatengeneza nyimbo za Diamond peke yake! Labda kwa kukukumbusha tu ni kwamba, hata Mwana ya Ali Kiba ameitengeneza kwa Godfather!!!

By the way, hata akipita hapa huyo Diamond atajifunza nini wakati hata mtoa mada hajaongea chochote cha maana ambacho ni critic zaidi ya kusema wimbo mbovu? Angalau ningekutarajia wewe uchambue hayo mapungufu lakini badala yake unakimbilia kusema anabebwa na promo za Godfather!

Mkuu team bushman wanaumia mnoooo pindi wanapoona King Of Afropop anafanya maajabu

Na ndio maajabu ya dunia hayoo, mtu sio shabiki wa Diamond ila ndio wa kwanza kulalamika ooooh wimbo hivii wakati sisi mashabiki wake tumemuelewa kiufupi tu amefanya tulichokuwa tunataka..

Uzuri wa Diamond, anatutosheleza mashabiki anakufanya ucheze, uimbe kwa hisia, ufikirie na kutongozea humohumo kila kituuu anaimba. Hata kama ulikuwa umeanza kufulia, afu demu wako mguu mmoja ndani mwingine nje, ukimsikilizisha hili dude hawezi kukuacha hata kama team bushman
 
Ukiona nyimbo sio nzuri usijilazimishe kusikiliza na wala hakuna umuhimu wa kuanzisha thread. Just change channel sikiliza nyimbo unazozipenda. Thread closed
 
Kabla ya masaa 24 video imeshaangaliwa zaidi ya mara laki mbili mtu mbaaaaya sana huyu, hapo amevunjilia mbaaali record ya nana iliyopata views 175,000 ndani ya saa 24.. Mwenye bongo fleva yake

Tukapate burudani kama vipi link hii
⬇
https://m.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=q9l2ItDLsUk
Jaman ww huu wimbo unaona mzuri kabisa yaan daah kweli kila mtu ana ladha yake kwny music kama utauita huu wimbo ni mzuri daah nitakuwa na wasiwas na masikio yako
 
U might ave very nice point but wengi wasilione hilo kwasababu ya ushabiki ama u-team,penye mapungufu lazima pasemwe,uzi huu kama atapita na kusoma basi utamsaidia kujua wapi pakuanza kupafanyia marekebisho,tatizo ni kwamba promotion anayoipata pitia godfather producer ni kupigiwa promo sana in the light kazi zake zisikike wordwide na ndo inayomfanya asikike sana, siku zote when promotion ikizidi kuliko ubunifu then utegemee kazi yako kuto kukaa sana sokoni na kuanza kuchuja mapema,something must be done hata kwa management yake wanaweza kulifanyia kazi hili kama wataona uzi huu.

Mkuu umeandika kama mtu anyeujua mziki na soko lake vizuri lakini bahati mbaya unaongozwa na upofu wa kutompenda tu Mond

Hivi kweli kabisa unasema kwenye bandiko la mtoa mada very nice point? Really!!!?

Hivi huyo Godfadher kawa dhahabu baada ya Chibu au?
Amewabeba wanamuziki wangapi Africa?
Unajua video ngapi katengeneza na zipi zimemletea mafanikio?.... Do your home work on this then uje na tathimini yako ya Mondi kubenwa na Godfather

Ilianza uchawi
Ikaja skendo
Ikaja freemason
Sasa Godfather
 
Jaman ww huu wimbo unaona mzuri kabisa yaan daah kweli kila mtu ana ladha yake kwny music kama utauita huu wimbo ni mzuri daah nitakuwa na wasiwas na masikio yako
Sisi wengine tunawasiwasi na akili yako.
 
Kikubwa ambacho hamjakijua Ni kuwa diamond mara nyingi hapendi kuwaangusha watu wake Target kubwa ya diamond baada ya Nchi kuwa bzy na mambo ya siasa Aliona asitoe wimbo hadi mwakani lakini mashabiki tulikuwa na kiu ya kutaka atoe wimbo Ndio maana akaamua kutotuangusha akatoa huu wimbo! Ndo maana kaweka hadi tangazo ndani ya kichupa! Sasa nyimbo zitakazo kuja alizo piga collaboration ndo mtanyooka

By the way diamond hii nyimbo kafanya kama ile ya nitampata wapi amini mimi hii nyimbo itamlipa sana!
 
Back
Top Bottom