Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

Kwenye video kanibore tu kumuweka yule dr mwaka khaa lakini wimbo uko poa poa sanaaaaaa
 
Sasa best nasoo anaingiajee Hapo??

Best Naso ametumika kuwakilisha wasanii wanaohangaika kutoboa kimziki both local and international, na kwa kuwa ukifanya video kwa Godfather unatoboa kimziki kama anavyotoboa Diamond basi wasanii wengine kama akina Best Naso nao waende kwa Godfather tuone watoboe
 
Nyimbo mpya kwanza imepoa sana labda aitenfenezee remix ukiangalia Zari kwenye ile video yupo tu hata huelewi mchango wake bora angekua anaonekana ana majibizano fulani any ways ni mawazo tu
 
Best Naso ametumika kuwakilisha wasanii wanaohangaika kutoboa kimziki both local and international, na kwa kuwa ukifanya video kwa Godfather unatoboa kimziki kama anavyotoboa Diamond basi wasanii wengine kama akina Best Naso nao waende kwa Godfather tuone watoboe

Na wakumbuke pia godfather ameshatengeneza video za watu kadhaa

Alikiba - Mwana
Linah - No stress, olethemba
Yamoto - Cheza kwa madoido

Ila kwanini za Diamond pekee ndio zinakuwa zinatisha sana, na kupata mafanikio makubwa zaidi??

1) Diamond anapokuwa anashoot video, uandishi wa script huwa anahusika saana..! Na kutokana na yeye kutumia lugha ambayo Godfather haifahamu huwa anafanya zaidi ya kumpa idea ya wimbo. Uunganishaji wa matukio n.k Ndio maana kila la muhimu kwenye video huwa linawekwa, kiasi kwamba hata asiyejuwa lugha na yeyote asiye na uwezo wa kusikia anapata kitu pindi atapoiona tu video...!!

2) Diamond ni booonge moja la actor. RIP Kanumba, Diamond siku moja aliconfess kuwa anamkubali sana na vitu vingi sana alikuwa anaiga kwake (tofauti na Sharuh Khan) .. Huyu jamaa huwa anauvaa uhusika vilivyo.

JE UTANIPENDA??
King Of Afropop...
 
Nyimbo mpya kwanza imepoa sana labda aitenfenezee remix ukiangalia Zari kwenye ile video yupo tu hata huelewi mchango wake bora angekua anaonekana ana majibizano fulani any ways ni mawazo tu

Inaonekana we ni foreigner kabisa..!! Kaangalie picha za video ya nagharamia pengine zitakuamshaamsha
 
ubwege ni pale unapotabiri Anguko la Mtu kama Umeweka Ahadi na Mungu.. Wakati mwingine kuitwa kichaa sio mpaka Uvue Nguo... UTANIPENDAAA
 
Diamond Platinumz yupo juu hata kama hamtaki
 
Jamaa yuko juu kwa sab y kujua kucheza na soko.
Siwez kumtabiria anguko kwa sab mambo hayawi rahis kuhivyo.
Dogo alitengeneza base kwa kuimba nyimbo nzuri sana before.
Ukiwa na base hata uimbe upuuz watu watakuelewa tu.
Wimbo wake mpya na wa kawaida sana,sana tu,ila umeimbwa na mtu ambaye tyr yuko juu.
Ukimpa msanii wa kawaida wimbo huo haubambi hata kidgo. Narudia tena,biashara ni kucheza na akili sokoni.
Itamchukua muda dogo kuzifunika nyimbo zake nyingi za awali.
Mziki una tabia hizo.
 
Na kwa kipindi hiki,soko kubwa ni video.
Hakuna kitu kigumu kwny industry ya muzik km kutengeneza ngoma afu iwe kali redioni.
Video mara nying ndo zinakuw kali.
Kutengeneza melody nzuri ya wimbo ni kipaji cha juu kisichokuwa na shaka.
Sio kila mtu anaweza.
Jarib kuusikiliza huo wimbo mpya redioni.
Samahan nawajib watu wa muziki na sio mashabiki wa muziki.
 
Diamond angejitahidi kukaa bila kutoa wimbo mpya ili watu wammiss hii style inasaidia sana msanii akirudi anaonekana mpya.

Sasa hii nyimbo mpya kiukweli ni ya kawaida sorry to say that
Weeh!usimdanganye unataka yamkute ya King Kiba manake ilibidi arudi kwa beef ili watu wamuonee huruma!Na ukichunguza wasanii wengi sana wanaokaa kimya huwa kurudi inakuwa kazi sana,Kiba ashukuru beef lakini pia bado anahangaika sana.
 
Mtasubiriiiiii saanaana mwambieni yule bushman AKA ambae elimu ya uzazi wa mpango ilipita kushoto arudi kigoma
 
Na kwa kipindi hiki,soko kubwa ni video.
Hakuna kitu kigumu kwny industry ya muzik km kutengeneza ngoma afu iwe kali redioni.
Video mara nying ndo zinakuw kali.
Kutengeneza melody nzuri ya wimbo ni kipaji cha juu kisichokuwa na shaka.
Sio kila mtu anaweza.
Jarib kuusikiliza huo wimbo mpya redioni.
Samahan nawajib watu wa muziki na sio mashabiki wa muziki.

mkuu unatumia redio gani kuckilizia hii ngoma?maana nijuavyo mimi ngoma ndani ya cku moja tu imekuwa balaa mpk watu weny vitekno vyao wanajiliwaza nao na wameuwelewa pia...sasa cjajua hasa unaposema tusikilize redioni na ilhali ata kweny video tunasikia iyo audio...au unataka kusema kuna tofauti kati ya audio redioni na ile ya kweny video?

halafu jua kuwa huu wimbo ni slow song yenye touching story mwanzo mwisho...so usitegemee kusikia mdundiko wa kizaramo na sindimba ya kimakonde humo!
 
Sioni cha kujadili maana humu kufikisha wana thread 100 tu wanaomponda ni shida wkt YouTube ana viewers 200000 mpk ss hv
 
Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?

Wivu tu umekujaa!
 
Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?

Watakutukanaaaaaaaaaaa......hawataki ukweli hao...
 
Back
Top Bottom