Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nitagisho_boy exposed. Njoo utoe mrejesho wa thread yako ya kale.
Magwiji wa taraabu toka enzi hizo ni wanaume . Mfno. Issa mattona, Mzee Yussufu, Yule DOGO marehemu aliimba nichumu tena mwaa alukuwa a nakuja Juu nae. So acheni ushabiki wa siasa kwenye kazi za watu mbona kiba nae kaweka charanga humu ni vionjo tu na kuonyesha mashabiki wako jinsi unavyo weza kuwa changanyia. Naomba niseme ukweri KiBa ni Mwanamziki mzuri tena binafsi nimeanza kumsikia kiba kimziki tokea zamani toka maknuga yupo Vizuri na amekaa kwenye gemu mda. Ila mziki wa bongo wasanii wanakuwa na vipaji ILA mamenejar wake hawakuweza kucheza na fursa za kumtangaza na kumpa exposure kimataifa. Diamond alianza na mbagala tokea hapo akawa anatoa Vitu na Manager wake walio na fursa wakampa exposure DOGO Sana za nje na kumbuka diamondi kuna kitu aliwahi kuongea kuhusu mapromoter wakibongo wanavyo wanyonya wanamuziki na akaanza kufanyia kazi zake Nje South amefanikiwa Leo ana studio kubwa , ana lebo ( bland kubwa) soko lake limekuwa kubwa kimataifa angalia hata show anazofanya nje wanamkubari sana yaani kama kiongozi wa kisiasa . inachotakiwa kama kweli Sisi ni wapenzi wa muziki tusitengeneze bifu kati ya kiba na Diamond ILA tuwaunganishe ili kiba nae awe huu zaidi hata kama Diamond anatoka nje anaungana na kiba na kupiga show Pamoja tutakuwa tumewa jenga . we hadi hakuna single ya Pamoja kati ya kiba na Diamond ni Ujinga WAO mziki ndio kazi yao waungane wapige hiyo pesa kwa fursa hii iliyopo kabla fulsa haijapelekwa kwingine.awapi hamna kitu sasa iyo nyimbo yupo na hadija kopa si taarabu sasa mwanaume utaimbaje taarabu kama sio msengee baridi
we dogo usikashfu watu mabwege unaskia? na ki certificate chako hiko kinacho kupa kiburi cha kishamba pori.Kweli ila mabwege wasiojua mziki watakubishia.
Aapeta nairobiMr. Nice alitoa somo, vijana wamepata discipline
We ndugu kwa roho hii.........hakika mbinguni utakusikia tu.Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?