- Thread starter
- #81
Video bora atapata... Ila utunziiiiiiiiiiiiiiiiiii nadhan barnaba na Ali kiba
Kwa utunzi wa nyimbo zipi ambazo kiba au barnaba wametunga? Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Video bora atapata... Ila utunziiiiiiiiiiiiiiiiiii nadhan barnaba na Ali kiba
Na wakumbuke pia godfather ameshatengeneza video za watu kadhaa
Alikiba - Mwana
Linah - No stress, olethemba
Yamoto - Cheza kwa madoido
Ila kwanini za Diamond pekee ndio zinakuwa zinatisha sana, na kupata mafanikio makubwa zaidi??
1) Diamond anapokuwa anashoot video, uandishi wa script huwa anahusika saana..! Na kutokana na yeye kutumia lugha ambayo Godfather haifahamu huwa anafanya zaidi ya kumpa idea ya wimbo. Uunganishaji wa matukio n.k Ndio maana kila la muhimu kwenye video huwa linawekwa, kiasi kwamba hata asiyejuwa lugha na yeyote asiye na uwezo wa kusikia anapata kitu pindi atapoiona tu video...!!
2) Diamond ni booonge moja la actor. RIP Kanumba, Diamond siku moja aliconfess kuwa anamkubali sana na vitu vingi sana alikuwa anaiga kwake (tofauti na Sharuh Khan) .. Huyu jamaa huwa anauvaa uhusika vilivyo.
JE UTANIPENDA??
King Of Afropop...
Bora uwaeleweshe maana watu wanajifanya hawaelewi sasa ni zama za Diamond Na yeye wakati Wake utafika atapita watakuja wengine jamani khaa maana anguko anguko ataanguka mungu akitaka si nyie binadamu looh!Wale wanaotabiri anguko la Diamond hawako sawa. Diamond kama msanii hawezi kuwa juu milele hata Amerika wasanii kama akina R.Kelly game inawakimbiza. Kitu muhimu cha kuzingatia ni kwamba Diamond ameplay part yake katika kuusogeza mziki wetu mbele hivyo atakapoishiwa itakuwa ni jukumu LA msanii mwengine kuendelea kuusogeza mbele mziki wetu. Wale wanaomshabikia Akikiba watasubiri sana maana muda wake ulishapita na aliplay part yake angalau Afrika Mashariki mziki wetu ulisogea, Diamond ameupeleka mbele zaidi hivyo aje mwengine ausogeze zaidi pengine mpaka America.
Inawezekana ikawa unaufahamu muziki lakini unaonekana huifahamu tasnia ya muziki! Kwa bahati mbaya sana; dunia ya leo wanaofanya vizuri ni wale ambao; cha kwanza kabisa wanaifahamu tasnia ya muziki na ndipo linapofuata suala la kuufahamu muziki!
AGAIN: Tofautisha kati ya Music and Music Industry! Kabla hamjahangaika kupiga ramli, mnatakiwa kwanza kuifahamu tasnia ya muziki na sio kujigamba kuufahamu muziki wakati tasnia hamuijui.....
Haters kama nawaona hv jueni huyu jamaa anajua mpk anaboa
Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?
huu unafki siupendi.akitongozwa dadaako unakasirika siku akiolewa unavaa suti.Huu wimbo kiukweli jaman tuache na ushabiki mhhh mie kwangu big NO
Dah, hivi ni Kweli mpaka anaandika, anafanyia mazoezi na marekebisho na kwenda ku record hakukumbuka Kama mwenzie alishaandika na kuimba huo wimbo.... ??? Kuna Wakati Q chief aliwahi kulalamika kua dogo anatembelea nyota Yake nikajua ni kutapata tu, Ila sasa naelewa.Huu wimbo sio wa Mike T kweli? "JE UTANIPENDA"