Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
- #21
Sijajua kiongozi nikitaka kujua kuwa imewezeshwa nafanyaje mkuu...?account yako ya bank imewezeshwa kufanya malipo mtandaoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kiongozi nikitaka kujua kuwa imewezeshwa nafanyaje mkuu...?account yako ya bank imewezeshwa kufanya malipo mtandaoni?
Nimepata visa card na nimeweka pesa ila inagoma kufanya malipo mkuu.Tumia Vodacom app.
Chap tu unakuwa na kadi yako.
Fika branch , omba uwezeshwe kufanya malipo online. Utasajiliwa.. baada ya masaa 24 utaweza kulipia kwa card online.Sijajua kiongozi nikitaka kujua kuwa imewezeshwa nafanyaje mkuu...?
Fungua Google account nyingine kwa majina yako,weka namba yako ya simu kama recovery namba incase umesahau password. Kisha download poweramp au lipia kwa kutumia hiyo mpesa MasterCard,watatuma email au msg ya confirmation kwenye namba yako/email mpya . Ushauri huu ni kwa sababu inashindikana kulipa kwenye Gmail account ya sasa .Sijajua kiongozi nikitaka kujua kuwa imewezeshwa nafanyaje mkuu...?
Gmail nyingine ninayo labda kama naweza ku-switch itumike hiyo nyingine au mpaka nifungue mpya kiongozi...?Fungua Google account nyingine kwa majina yako,weka namba yako ya simu kama recovery namba incase umesahau password. Kisha download poweramp au lipia kwa kutumia hiyo mpesa MasterCard,watatuma email au msg ya confirmation kwenye namba yako/email mpya . Ushauri huu ni kwa sababu inashindikana kulipa kwenye Gmail account ya sasa .
Nimefungua account nyingine ya Gmail ila kwenye process za ku-create mbona hawajaleta hiyo sehemu ya kuweka recovery phone number na tayari account ipo active mkuu.Fungua Google account nyingine kwa majina yako,weka namba yako ya simu kama recovery namba incase umesahau password. Kisha download poweramp au lipia kwa kutumia hiyo mpesa MasterCard,watatuma email au msg ya confirmation kwenye namba yako/email mpya . Ushauri huu ni kwa sababu inashindikana kulipa kwenye Gmail account ya sasa .
Fungua Google account nyingine kwa majina yako,weka namba yako ya simu kama recovery namba incase umesahau password. Kisha download poweramp au lipia kwa kutumia hiyo mpesa MasterCard,watatuma email au msg ya confirmation kwenye namba yako/email mpya . Ushauri huu ni kwa sababu inashindikana kulipa kwenye Gmail account ya sasa .
Pole sana , poweramp ni best music player kwa simu. Bila hiyo app sisikilizi mziki,nenda bank kafanye online payment activation ya card yako. Pia kama una Airtel no basi tengeneza MasterCard kisha lipia.View attachment 2950156
Nimefanya ulivyonielekeza kiongozi na account ya Gmail niliyofungua hiyo hapo juu na recovery phone number nimeweka ya voda ila nimetaka kulipia haileti option ya kulipa kwa voda inaleta ya Airtel money tu mkuu. Nafanyaje hapo mkuu msaada...?
Kutengeneza Mastercard ya Airtel inabidi ni-download app ya Airtel si ndio...?Pole sana , poweramp ni best music player kwa simu. Bila hiyo app sisikilizi mziki,nenda bank kafanye online payment activation ya card yako. Pia kama una Airtel no basi tengeneza MasterCard kisha lipia.
Unapata features zote kiongozi au...? Nimeangalia oceanofapk nimekosa moded Poweramp.Nyie hadi mlipie wakati kuna full version ambayo ipo unlocked bro
Nenda Airtel money menu ya kawaida tu,utapata option ya kutengeneza MasterCard.Kutengeneza Mastercard ya Airtel inabidi ni-download app ya Airtel si ndio...?
Kwa sababu nilivyoona inaniletea option ya kulipia kwa Airtel nikaweka hela kwenye Airtel money lakini bado ikagoma nikaweka hela kwenye mpesa bado ikagoma pia.
Okay ngoja nifanye hivyo kiongozi.Nenda Airtel money menu ya kawaida tu,utapata option ya kutengeneza MasterCard.
Nimeshatengeneza kiongozi ngoja nifanye malipo nione italeta ujumbe gani.Nenda Airtel money menu ya kawaida tu,utapata option ya kutengeneza MasterCard.
Nimefikia hapo kiongozi...!Nenda Airtel money menu ya kawaida tu,utapata option ya kutengeneza MasterCard.
Kiongozi, heshima nyingi sana kwako umetisha sana aisee...!Nenda Airtel money menu ya kawaida tu,utapata option ya kutengeneza MasterCard.
Pamoja sana chief, enjoy the music .