Hashim bin Faustin
Senior Member
- Jan 30, 2017
- 177
- 216
Bunge la Kenya limekutana ili kujadili hali ya kupanda kwa gharama za maisha baada bidhaa muhimu kwa jamii kama Unga na Sukari kuwa ghali hivyo jamii ya kipato cha chini kuwa katika wakati mgumu kimaisha.
HONGERA WABUNGE WA KENYA ....!!
Huku kwetu TZ tuko taaabani lakini hatuna wa kututetea wao kazi kutafuta kick kila kukichwa. Kusifia serikali kwa saaana, kumuandama bashitee kwa Sanaa, kubaguwana kwa sanaa. Wakati Unga na Sukari bei Juuuu , wao kimyaaaaa. !!
HONGERA WABUNGE WA KENYA ....!!
Huku kwetu TZ tuko taaabani lakini hatuna wa kututetea wao kazi kutafuta kick kila kukichwa. Kusifia serikali kwa saaana, kumuandama bashitee kwa Sanaa, kubaguwana kwa sanaa. Wakati Unga na Sukari bei Juuuu , wao kimyaaaaa. !!