Nalipongeza Sana Jeshi La Polisi Nchini Kwa kuendelea Kumshikilia na Kumhoji Mdude Nyagali

Huko Mbeya kuna mwenzako wa chama kimoja amepoteza maisha, mnafurahia mabaya yawakute wa upande wa pili...yakija kwenu naamini mtalaani sana, ila "sime' ni upanga unaokata kotekote.

Msiwe watu wa kufurahia siasa chafu...enjoy machawa!!
Unaunga mkono siasa za matusi za Mdude? Ni vipi matusi yanaongeza uzito wa hoja ya mtu?
 
Vipi kuwauwa wa upande mwingine, mnafurahia sana wakiuwawa sio?
Hatutaki Damu ya mtanzania yeyote yule asiye na hatia imwagike katika ardhi ya Tanzania.Ndio maana vyombo vyetu vya ulinzi hususani jeshi la polisi limekuwa likipambana kuwatia nguvuni na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wahusika wote.
 
Hatutaki Damu ya mtanzania yeyote yule asiye na hatia imwagike katika ardhi ya Tanzania.Ndio maana vyombo vyetu vya ulinzi hususani jeshi la polisi limekuwa likipambana kuwatia nguvuni na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wahusika wote.
Hujitambui mkuu, samahani kwa kukuvunjia heshima(kama ipo(!))
 
Matusi ya mdude yanauma kuliko ufisadi wa wazi wa viongozi? Matusi yanauma kuliko utekaji tanzania?
 
Matusi ya mdude yanauma kuliko ufisadi wa wazi wa viongozi? Matusi yanauma kuliko utekaji tanzania?
Ufisadi upi huo unaouzungumzia? Kwa hiyo unataka Mdude Nyagali aendelee kutukana watu matusi na kuwadhalilisha?
 
Kesi yake mahakamani imetupwa na yeye bado anashikiliwa?
Tatizo pale most likely ilikuwa Polisi walimpomfuata kumu arrest aliwaita,"Choko".
Lakini hakuna sababu ya kuendelea kumshikilia.
He has suffered enough already.
 

You have been defeated. If this is the approach, expect more losses now and in the future.

The history is full of examples of people or systems which use this method and their outcome
 
Mengiii na jua hata utekaji wewe huwa unapongeza,sijuibinadamu wa dunia gani wewe?
 
Wamuwekee na ka pollonium ili akitoka akakae hospitali maisha yake yote, kama akifungua mdomo owe no kuomba uji tu
 
Wakati nondo na mdude wanatekwa na kushikiliwa plus member wengine wa chadema !

Viongozi ndani ya chama huko kilolo na Mbeya wanauawa!!

Je watekaji Wana balance equation!!?

Kwanini huku wanapotezwa bila kujua walipo au kutekwa wakati was kwetu wanauawa!!?

TUMIA UBONGO WAKO VIZURI LUCAS!

KUNA PICHA LINAENDELEA!!!
 
Kesi yake mahakamani imetupwa na yeye bado anashikiliwa?
Tatizo pale most likely ilikuwa Polisi walimpomfuata kumu arrest aliwaita,"Choko".
Lakini hakuna sababu ya kuendelea kumshikilia.
He has suffered enough already.
Acha aendelee kuhojiwa kwa kina
 
Wamuwekee na ka pollonium ili akitoka akakae hospitali maisha yake yote, kama akifungua mdomo owe no kuomba uji tu
Hicho ndio mnaweza kuhamasisha na kufurahia mioyoni mwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…