Nalipongeza Sana Jeshi La Polisi Nchini Kwa kuendelea Kumshikilia na Kumhoji Mdude Nyagali

Hujui Dunia ,pumbavu
 
Mdude ni mwanaharamu- hajawahi kulelewa na wazazi wake hivyo hivyo pia kwa Soka
 
Wachawi lazima watukanwe naona umetaharuki kusikia wachawi wenzako wanatukanwa
 
Nilishatoa maandiko mazito mazito kuhusiana na masuala na watu wakanielewe vizuri kabisa.
 
Nionavyo mimi, kwa kuzingatia kwamba kosa au makosa yake yanadhaminika, na kwamba hadi wamkamate walikuwa wamesha 'establish' kosa au makosa yake, na siyo kumkamata, then ndiyo waanze kutafuta makosa: 1) kama wanafanya kwa mujibu wa sheria, sawa. 2) Kama wanafanya kinyume cha sheria, si sawa. Sasa kufarijika kwako kunategemea kama kunaangukia 1 au 2. Kama kunaangukia 1, ni sawa. Kama kunaangukia 2, si sawa, ni kuwa na roho mbaya kumtakia raia mwenzako mabaya. Na haya mambo huwa yanazunguka. Yanaweza kuanza kwa x, na siku nyingine yakamkuta Y, hata bila kujua sababu yake ni nini. So, take care, dunia huzunguka kama pia, na "aliyesimama aangalie asianguke" (1 Wakorintho 10:12).
 
Nashukuru Leo warioba ametoa siri za CCM kwamba wanatumi Jwtz,polisi,na Tume feki kubaki madarakani
 
Mdude inatakiwa akae ndani kwanza mpaka amalize kufanyiwa mahojiano na kujibu na kuthibitisha maneno yake yote ambayo huwa anaropoka hovyo hovyo.ni lazima awajibike kwa kauli zake.
 

Wewe utakuwa ji chizi au SHOGA. Siyo bure.
 
Unaandika huku unabubujikwa na machozi...utakua mfupi,mnene,mweusi una kitambi kikubwaa
 
Ulitaka nikosoe nini ambacho wewe umeona hakifanyiwa kazi na CCM na serikali yake
Kutowachikulia hatua polisi waliokuwa wanaingia vituo vya kupigia kula na ma box ya kula fake kama yule ASP wa Kigoma. Kazi yao ni kuzuia uhalifu na siyo kuupalilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…