NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Sasa Rasmi nimeamua kumvua Feisal Salum jina la ZANZIBAR FINEST na kumpatia jina hili kijana mdogo anayepiga kazi kubwa mno na kuibeba Zanzibar kwenye mabega yake na siyo mwingine Bali ni Ibrahimu Bacca.
Naam huyu ni beki kitasa Tena kitasa mno beki asiyekua na sifa atakapo fanikiwa kuwini mipira miwili Kama Yule beki mkongo aki win mipira miwili ya mshambuliaji kutoka upinzani hukata Hadi viuno.
Kuanzia Sasa Nampa jina la "ZANZIBAR FINEST " beki kitasa beki sharibu beki anayefuata maelekezo kutoka kwa kocha wake Prof Nabi huyu ni beki anayecheza na mipira ya juu mpaka mipira chini, beki linaloteleza mpaka pakavu.
Hilo ndilo beki lililookoa michomo ya marumo gallants pale Kaka zake wanapopitwa na mawinga hili beki lilisawazisha makosa .
Ibrahimu Bacca ni "ZANZIBAR FINEST"
Naam huyu ni beki kitasa Tena kitasa mno beki asiyekua na sifa atakapo fanikiwa kuwini mipira miwili Kama Yule beki mkongo aki win mipira miwili ya mshambuliaji kutoka upinzani hukata Hadi viuno.
Kuanzia Sasa Nampa jina la "ZANZIBAR FINEST " beki kitasa beki sharibu beki anayefuata maelekezo kutoka kwa kocha wake Prof Nabi huyu ni beki anayecheza na mipira ya juu mpaka mipira chini, beki linaloteleza mpaka pakavu.
Hilo ndilo beki lililookoa michomo ya marumo gallants pale Kaka zake wanapopitwa na mawinga hili beki lilisawazisha makosa .
Ibrahimu Bacca ni "ZANZIBAR FINEST"