Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
- Thread starter
-
- #21
Niambiwa nisiwagawie namba yangu ya ela
Matapeli hao
Na hii ya " ila usiweke dau kubwa zaidi ya 1000, utafilisi kampuni " π€Nilivyoona amekujibu hapo nilipozungusha duara Nikaishia kusmile..Jamaa wanakubembeleza vizuri sn km nesi anavyombembeleza mtoto kumbe anataka kumchoma sindano ya takal[emoji28][emoji28]View attachment 2206015
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wacha ujinga boya wewe!Nisanueni mapema kabla sijawapa iyo elf 59999 nipate laki 2
Nisanueni njaa itaniuwaaaa
Hawa apa tulivyoanza
π
View attachment 2205971
View attachment 2205974
View attachment 2205976
View attachment 2205977
Hahahaha nimechekaNa hii ya " ila usiweke dau kubwa zaidi ya 1000, utafilisi kampuni " π€
Yaani Hadi saa hii hujawapa hiyo 59999? Wee jamaa hutaki hela?Hahahaha nimecheka
Huyo dada na urembo huo kajiingiza kwenye utapeliπ€£Nisanueni mapema kabla sijawapa iyo elf 59999 nipate laki 2
Nisanueni njaa itaniuwaaaa
Hawa apa tulivyoanza
π
View attachment 2205971
View attachment 2205974
View attachment 2205976
View attachment 2205977