Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafia kwenye kusoma na ajira hupati kabisa, mpaka umalize fursa zitakua zimebadilika.Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.
Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.
Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Tafuta biashara au mradi ufanye, ingiza pesa directly.Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.
Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.
Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Hilo nalo nenoUtafia kwenye kusoma na ajira hupati kabisa, mpaka umalize fursa zitakua zimebadilika.
Sahihi mkuuTafuta biashar au mradi ufanye, ingiza pesa directly.
Utaanzankuzunguka na macertificate yako kutafuta kazi, wakati bado unao.
Jinga ni mama Yako choko niniJinga kweli
Digrii ni ya fani gani?Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.
Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.
Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Wakati mwingine jifunze kupuuza baadhi ya mambo ili upate unacho kitaka kijana, humu watu wengi walisha changanyikiwa zaidi yakoJina
Jinga ni mama Yako choko nini
Sasa kama wamevurugwa ndio walete mivurugo yao kwangu? Mimi mwenyewe ninavurugwa na mambo yangu mkuu, mtu akinieshimu namueshimu pia siendekezi shobo za kijingaWakati mwingine jifunze kupuuza baadhi ya mambo ili upate unacho kitaka kijana, humu watu wengi walisha changanyikiwa zaidi yako
Nasoma shahada ya sociology nataka kuchukua NTA levels za community development.Unachukua bachelor degree ya nini??
Unataka kusoma NTA level 5 na 6 (fafanua hapa mkuu). Ili tukushauri uzuri shekh.
Ukijibu hayo mambo mbili hapo juu bilashaka utapata ushauri utakao kufaa kulingana tunavyo paona mtaani pamoja na soko la ajira.