mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
😄Duh Yamekuwa ha you tena?
Kwa hiyo sio kwenda kwa mganga tena?
Umebadilisha gia angani?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄Duh Yamekuwa ha you tena?
Kwa hiyo sio kwenda kwa mganga tena?
Umebadilisha gia angani?
Mimi mwenyewe miaka fulani nliendaga VETA kuzuga kuongeza maujanjaSasa unaruka mavi na kukanyaga mkojo.
Mie nilijua unaenda VETA kupata ujuzi fulani, kumbe huko utendaji wa mtaa/kata au afisa maendeleo ya jamii?
Wee dogo hauko timamu, poleee sanaa.
Comrade, mtaani hakuna ajira. Ukimaliza hayo masomo, utaanza tena kutafuta kazi ambayo haipo! Hiyo hela unayotaka kusoma tena ni bora ukaitumia kama mtaji. Karibu mtaani ujiajiri. Huku ni kugumu tu kama mfukoni huna kitu.Nasoma shahada ya sociology nataka kuchukua NTA levels za community development.
Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.
Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.
Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Nadhani ulifanikiwa pia.Mimi mwenyewe miaka fulani nliendaga VETA kuzuga kuongeza maujanja
Ova
Sana tena veta yenyw tulienda ndy ya moto mwanzomwanzoNadhani ulifanikiwa pia.
Nenda VETA hata usome driving ukishindwa kijifunza ufundi mwingine.Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.
Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.
Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Umeongea kitu.....Soma udreva, utakuja kunishukuru
Hapo ulitusua kinoma.Sana tena veta yenyw tulienda ndy ya moto mwanzomwanzo
Ova
Acha kumkatisha tamaa, although soko limebadilikq si vinaya akaanza, na si mtu wa kwanza. Watu wa aina hiyo wapo wengi vyuoniUtafia kwenye kusoma na ajira hupati kabisa, mpaka umalize fursa zitakua zimebadilika.
Sema kuna watu wanapenda kubukua 😄 wakina John kisomoHapo ulitusua kinoma.
Maisha ni ugomvi mzee au hulijui Hilo?Chanzo cha ugomvi nini
Silifahamu hilo nifahamisheMaisha ni ugomvi mzee au hulijui Hilo?