Namaliza degree mwaka, huu nataka kuchukua diploma

Namaliza degree mwaka, huu nataka kuchukua diploma

Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.

Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.

Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.

Dogo ushauri wangu usisome kwa kazi za Tanzania badala yake soma kwa kazi za baadae Dunia nzima. Nenda kafanye research kampouni kubwa za teknologia, banks kubwa duniani na makampuni makubwa Duniani wana post kazi za ujuzi gani. Soma maana tunakoenda unaweza kufanya kazi kutoka popote Duniani. Hizi kazi za serikali zinategemea sana misaada sijui kazi za mazingira, kugawa gas, miradi ya misaada hizo kazi hazitakuwepo miaka ijayo. Nenda kwenye website za kampuni kubwa hapo angalia kazi wanazo post. Hizo top 100 zote ziko powa usichague kampuni za aina moja. Ukimaliza Tafuta kazi popote Dunia achana na dhana ya lazima kazi iwe Tanzania. Mtoto wa Kaka yangu mfano anafanya kazi jimbo la Tennessee hapa Marekani wenyewe ndio walimpa visa na kazi. Alipata degree ya Accounting halafu akapiga vi course vya online tena free. wakampa kazi $60,000 kwa mwaka na alikuwa na miaka 23 tu !

 
Dogo ushauri wangu usisome kwa kazi za Tanzania badala yake soma kwa kazi za baadae Dunia nzima. Nenda kafanye research kampouni kubwa za teknologia, banks kubwa duniani na makampuni makubwa Duniani wana post kazi za ujuzi gani. Soma maana tunakoenda unaweza kufanya kazi kutoka popote Duniani. Hizi kazi za serikali zinategemea sana misaada sijui kazi za mazingira, kugawa gas, miradi ya misaada hizo kazi hazitakuwepo miaka ijayo. Nenda kwenye website za kampuni kubwa hapo angalia kazi wanazo post. Hizo top 100 zote ziko powa usichague kampuni za aina moja

Ukweli mtupu nashukuru sana kaka
 
Nasoma shahada ya sociology nataka kuchukua NTA levels za community development.
Sawa mkuu.....
Kwa majibu haya, nashauri nashauri kuliko kwenda kusomea mambo ya community development, bora ukatafute fani ya kazi za mikono nikimaanisha ujuzi. Ama bora utumue hiyo fedha kuanzisha biashara hata kama ni ndogo kuliko kwenda kusomea tena vitu ambavyo usipo ajiriwa hauwezi ukajiajiri.
Asante
 
Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.

Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.

Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Hehehe!!!
 
Sawa mkuu.....
Kwa majibu haya, nashauri nashauri kuliko kwenda kusomea mambo ya community development, bora ukatafute fani ya kazi za mikono nikimaanisha ujuzi. Ama bora utumue hiyo fedha kuanzisha biashara hata kama ni ndogo kuliko kwenda kusomea tena vitu ambavyo usipo ajiriwa hauwezi ukajiajiri.
Asante
Huu ni ushauri mzuri sana kaka nashukuru sana mkuu
 
Tafuta Ujuzi mdogo wangu. Ukiwa na Ujuzi haufi njaa.

1.Welding
2.Mechanical
3.Crane/Truck operators
4.Electrician
5.Fundi Wa milango na madirisha ya Aluminium
6.Kinyozi, uwe na ofisi yako nzuri
7.Plumbing
8.
9.
10.
 
Nasoma shahada ya sociology nataka kuchukua NTA levels za community development.
Sasa unaruka mavi na kukanyaga mkojo.
Mie nilijua unaenda VETA kupata ujuzi fulani, kumbe huko utendaji wa mtaa/kata au afisa maendeleo ya jamii?

Wee dogo hauko timamu, poleee sanaa.
 
Tafuta Ujuzi mdogo wangu. Ukiwa na Ujuzi haufi njaa.

1.Welding
2.Mechanical
3.Crane/Truck operators
4.Electrician
5.Fundi Wa milango na madirisha ya Aluminium
6.Kinyozi, uwe na ofisi yako nzuri
7.Plumbing
8.
9.
10.
Watu ni wapishi tu wanalipwa mamilion
Kupamba n.k
Wewe unahangaika kusoma degree za utalaam wa miamba
 
Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.

Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.

Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
Course gani?

Nikushaur kitu.. Tafuta industry ambayo una passion nayo mfano stationary, pharmacy, ufundi computer & phones, ufundi magari ,pikipiki, bajaji , kilimo biashara, ufugaji e.t.c kubali kuanzia Chini.

Ni muda Sasa vijana wa kitanzania tuache kuwaza ajira za kuajiriwa na tutengeneze mentality ya kujiajir na kutafuta fursa za biashara na kutengeneza ajira kwa vijana.

Degree ni ELIMU kubwa Sana itumie Kama jicho la kuweza kukuwezesha kuziona fursa na kuzitumia in 10 years to come

Utakuja hapa kunipa mrejesho wa Nini ume achieve sawa be gentleman 💪

Champions are Not those who NEVER LOSE

Champions are those who NEVER QUIT
 
Nilianza degree kwa vigezo vya advance levels, ila kwasasa Naona opportunity zipo kwenye diploma na certificate huku.

Kwaiyo namaliza degree nataka kusoma NTA level 5 na 6 ili kukabiliana na soko la ajira.

Naombeni ushauri kuhusu hili wakuu.
We ni muoga wa maisha mkuu,

Kama ni mtoto wakiume njoo tupambane huku.
 
Back
Top Bottom