Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaangaza maisha yako
Kesho mwaka mpyaaa Sasa ole baadae usiwepoNipo kaka, harakati za ki-fidforce
Kumbe vipi vibaka wamepita nacho niniSipo nyumbani mkuu, af kitendea kazi changu kimepata shida, kesho nitajitahidi niwepo online muda wote
Wakutapeli simu kizembe zembe hivooo 😅 😅 😅 😅Amna nimeunguza charger Kweny umeme, af jana kidogo tu wanitapeli simu, watu wanasaka mali hatari 😁
Me nataka unisimulie hiki kisa kilikuwajeAmna nimeunguza charger Kweny umeme, af jana kidogo tu wanitapeli simu, watu wanasaka mali hatari 😁
Eti jana asubuhi nimeamka saa 4 nikasema niende dukani mara 1 kununua sabuni nifue nguo,Wakutapeli simu kizembe zembe hivooo 😅 😅 😅 😅
Daah mkuu 😁😁Kama haujatajwa panda juu mbinguni ukazibe 😅😅😊😊😊
Kama haujatajwa nenda kaoge baharini 😅😅😅😂
Hayo juu ni maneno ya nyimbo za taarabu...
So nimeamua kunogeshaa
Kama hujatajwa afanye Nini vileee..
Happy new year in advance ☺️ all Jf members.
Ubarikiwe mkuu,lkn mbona ni kama unatuaga.Habari ndugu zangu wa JamiiForums,
Natumaini wote mko salama na wenye afya njema. Leo natimiza mwaka mmoja tangu nilipojiunga na hii jamii adhimu ya wasomi na wachambuzi wa mambo mbalimbali. Ni mwaka ambao nimejifunza mengi, nimeongeza maarifa na pia kufurahia mijadala ya hapa.
Katika safari yangu ya mwaka mmoja, nimekutana na watu wenye uelewa wa hali ya juu na nimejifunza vitu vingi kutoka kwao. Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru nyote kwa michango yenu yenye manufaa na ushirikiano wenu.
Pia ningependa kuchukua nafasi hii kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja au nyingine niliwakosea. Kama mwanadamu, si mkamilifu na kuna wakati huenda niliteleza kwa maneno au vitendo. Naomba msamaha kwa wote na nawasamehe wale ambao walinikosea. Zaidi ya yote, naomba msamaha kwa moderators wote kwa changamoto zozote zilizotokana na mimi.
Ili kuadhimisha mwaka huu wa mafanikio, naomba sapoti yenu kwa kunipatia likes kwenye thread hii. Inaweza kuwa kidogo kwenu lakini kwangu ni jambo kubwa na la kutia moyo. Naahidi kuendelea kushiriki kwa bidii na kujifunza zaidi kwa mwaka ujao.
Asanteni sana kwa muda wenu na nawatakia siku njema na yenye baraka tele.
Mwanachama Wenu Mwaminifu,
Rayns
...............................................................
Nawapenda sana wote...
Maxence Melo
Moderator
Active
&++
Watu8
Mshana Jr
Smart911
&++
Vincenzo Jr
The Monk
min -me
&++
INSIDER MAN
UMUGHAKA
CK Allan
&++
raraa reree
ephen_
Edo kissy
&++
TANESCO
&++
JamiiForums
Fake P
Half american
Mpaji Mungu
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Shunie
Antonnia
Briancah
cocastic
DR SANTOS
Gifted girl
Mad Max
Dr am 4 real PhD
Black Sniper
Hope urassa
BabaMorgan
Hayakuhusu
Paul dybala
Andazi
Lethergo
Lovelovie
Leejay49
Joanah
Joannah
To yeye
princess ariana
dronedrake
Red black
Chaliifrancisco
Jchris14
Expensive life
bagamoyo
USSR
The lost
Tayana-wog
jiwe angavu
Kinyungu
Mnyunguli
dudus
Kambi ya Fisi
imhotep
sysafiri
Mahondaw
Muite
ndege JOHN
S.M.P2503
mcTobby
Marchey
mwarabu feki
Tajiri Tanzanite
chama konokono
FaizaFoxy
Shimba ya Buyenze
Niwaheri
KENZY
Equation x
Fundi manyumba
fundi bishoo
Triple G
Mbaga Jr
Yuda Legacy
Ulongupanjala
hermanthegreat
Carasco Putin
nuporo
Vichekesho
Kiranga
binti kiziwi
BARD AI
CHIEF MKWAWA
Mchochezi
Boy
Warld
Robert Heriel Mtibeli
Lamomy
Ileje
covid 19
Jack Daniel
Kidagaa kimemwozea
K11
cocochanel
Jacky collection
britanicca
Ikulu T
Nuzulati
Blender
The Icebreaker
Cassnzoba
Snapdragon 8
Jagiya
SweetyCandy
The introvert
Extrovert
Mamndenyi
Vishu Mtata
Mwinya255
Nyamwi
Code 255
Stuxnet
Marc Panther
Marco Polo
Wagumu Tunadumu
Curtiz
Mgeni wa Jiji
Mgeni wa jamii forums
kingundya
Depal
maiko sultan
Saad30
jooohs
hayakuhusu-
Poor Brain
cacutee
Cute Wife
Missy Gf
Ujinga mtupu
macho_mdiliko
Ushimen
Labella
ledada
Kapeace
Manyanza
Bonsipele69
amshapopo
NadeOj
Django doer
Mjamaa1
ERoni
Mtali
Mtaalam
rikiboy
Gabenus
Elli
Numbisa
Unique Flower
and all others++
🤝🤝🤝
Mmmmh kho kho kho. Jeshiii 😅😅😅Eti jana asubuhi nimeamka saa 4 nikasema niende dukani mara 1 kununua sabuni nifue nguo,
Nafika barabarani hivi nakutana na jamaa kavaa kachomekea na viatu vyeusi anasema eti "dogo una haraka sana, kuna deal hapa unisaidie kubeba viti kwenye gari kuna posho kidogo"
Tamaa ya hela ikanijaa nikamkubalia, akapita jamaa mwingine akamwambia nae tusaidizane atugei elfu 10 kila mtu. Sasa tumefika Sehemu yenyewe anasema tena ampigie simu boss, akachukua simu ya yule jamaa akaongea nae kidogo eti simu ikazima chaji, nimpe yangu ampigie boss 😁😁 nikamwambia simu yangu imezima, akasema "inatumia charge gani niiboost kidogo hapo kwa jamaa yangu"
Nikashtuka 😁😁😁
Mara jamaa wakaongozana kumbe ni wale wale wanajuana
Wangekuchapa simu ungeona mwaka mgumu huu tunaingia Leo saa 6 kamiliDaah mkuu 😁😁