Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kenya wanatumiwa na mabeberu, wanataka kumkwamisha JIWE lakini hawata fanikiwaWewe Waziri wa Afya kweli ni mwanamke unayejua uchungu wa mtoto? Kwenye janga hili la Corona unafuata muongozo upi ambao unaelekea kuiua Tanzania?
Tumechoshwa na habari za aina hii kila siku. Pia nikueleze kuwa tunachoshwa na madhila tunayoyaona huku mitaani. Hatujazoea kuishi na maiti sisi! Kama unaona huwezi kufuata mwongozo sahihi kuukabili huu ugonjwa basi ondoka ili tujue tutachukua hatua gani.
Umefikia hatua sasa unatukera waziwazi!
Madereva wangapi Wa Tanzania umesikia wamekufa kwa corona?Hawa madereva wa tz inaonesha wako kwenye mazingira hatarishi sana kikazi.
Hii pia inawafanya wengi wao kufa kwa maradhi ambukizi.
Labda elimu zaidi inahitajika kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakishawapima wanawarudia tena kuwapima au hawarudii? Kwani ukishshapimwa ukiondoka so what kwani corona. Haiwezi mpata Hugo uliyempima? Ujinga tu kwani MTU ukimpima malaria ukamkuta hana maana yake Wewe ukiondoka ndio hawezi pata malaria kisa ulimpima
Yaani hapo ndo umetumia saaana akili yako.1. Nao wanaanza kuficha updates za waathirika wa Corona?
2. Nao wamekimbia ikulu zao?
3. Nao wameanza maombezi, mitishamba au kufuka nyungu?
4. Nao wameanza kukimbia simu za marais wenzao?
5. Nao badala ya kupima watu wameanza kupima mbuzi, kondoo, mapapai, oil nk?
6. Nao wamebatiza ugonjwa kuwa changamoto za kupumua?
7. Nao wamefungiwa mipaka na najirani zao?
8. Nao wanashutumiwa na marafiki zao kuwa hawashauriki?
9. Nk nk
Truly you should be very proud of your president JPM he is a genius.
Yaani hapo ndo umetumia saaana akili yako.
Ngoja nikusaidie kwa kukujibu maswali yako yote kuwa HAPANA
So what? ndo inawaondolea Corona?
Kwani hata uchaguzi mkuu ukiwepo upande wa pili watafurukuta kweli.Mkuu maambukizi ni makubwa na bado yanaenea wauza chipsi hawavai barakoa wazee vijana wanashinda vijiweni vibarazani hakuna wa kuwakemea, CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu.
CCM wanataka Watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu hakuna cha vita ya uchumi wala nini hivyo visingizio vya wana CCM havina mashiko
Ni bora wamekufa saizi hawana stressWacha tuvune tulichopanda mwaka 2015!!
Ni bora wamekufa saizi hawana stressUchaguzi haiwezekani kuharishwa Tunataka tuifute Chadema
Acha uongo!! Unakaa na maiti wapi? Unaamua kuzusha bila aibu!! Lete ushahidi wa picha ukiainisha jina la marehemu na sehemu ulipo, vinginevyo nyamaza!! Usitake kuleta taharuki!! Maelekezo ya serikali hamfuati lakini ndio wapiga domo wakubwa! Hapo ulipo huenda hata Barakoa huna, sanitizer huna, ulichonacho ni mdomo tu uliojaa maneno ya chuki!!Wewe Waziri wa Afya kweli ni mwanamke unayejua uchungu wa mtoto? Kwenye janga hili la Corona unafuata muongozo upi ambao unaelekea kuiua Tanzania?
Tumechoshwa na habari za aina hii kila siku. Pia nikueleze kuwa tunachoshwa na madhila tunayoyaona huku mitaani. Hatujazoea kuishi na maiti sisi! Kama unaona huwezi kufuata mwongozo sahihi kuukabili huu ugonjwa basi ondoka ili tujue tutachukua hatua gani.
Umefikia hatua sasa unatukera waziwazi!
Na nyie madreva hakikisha umepima nchini kwako kabla ya kuanza safari inayovuka mpaka wa Tanzania! Watu 25 kuonekana na COVID 19 si sababu ya taharuki kwa hali halisi duniani kwa sasa.Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya baada ya kukutwa na virusi vya corona.
Kati ya madereva hao 23 ni raia wa Tanzania , mmoja wa Uganda na mmoja kutoka taifa la Rwanda.
Kulingana na wizara ya afya nchini Kenya raia hao wa taifa jirani la Tanzania walipimwa na kupatiwa matokeo yao katika kipindi cha saa 24.
Wizara hiyo imesema kwamba hatua hiyo inalenga kuwalinda Wakenya dhidi ya maambukizi kutoka kwa raia wa kigeni.
Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.
Aman aidha amewataka Wakenya wanaoishi mipakani kuwaripoti watu wanaowashuku ambao wanajaribu kuingia nchini kwa njia haramu.
This is not a big deal!! Some of our neighours have more COVID 19 cases than us!! However, we have to accept the fact that there is no any other way out except for them to be sent back!Ndugu zetu na mlivyo wakaidi mumeamua kuogelea kwenye hiki kitu....
Hao wote 23 wamerudishwa kwao huko wakapambane na hali yao, aidha wajifukize kama walivyoshauriwa au watajua wenyewe....halafu Watz kwenye mtandao wabishi yaani.
=========================
Namanga in Kajiado County has been put on the list of high-risk zones after 25 truck drivers in Namanga tested positive for coronavirus
According to Health CAS Rashid Aman, 23 of them are Tanzanians, 1 is Ugandan and 1 is a Rwandese national.
“We have now classified Namanga as high risk based on Covid-19 positive cases detected at border crossing points,” he said adding that those who tested positive have been referred back to Tanzania.
Namanga borders Kenya and Tanzania.
On the Kenyan side, the town lies in Kajiado County while in Tanzania it lies in Longido District.
“Yesterday (Tuesday), we informed you about a team that went to Kajiado to ascertain the measures we needed to put in place to curtail cross border transmission of the disease. Arising from that visit, I want to report that the mobile testing lab that will be deployed at Namanga border post shall be ready within a week,” Dr. Aman said.
He noted the mobile testing lab will be used to run Covid-19 tests for truck drivers and Kenyans with the facility seen as key for surveillance and monitoring of the virus within member states of the East Africa Community (EAC).
Namanga put on high-risk list after 25 truck drivers test positive for Covid-19 - Citizentv.co.ke
Weka ushahidi wa picha, majina na sehemu( yaani vifo Viki wapi) bila hivyo kila mmoja ataona unaongelea vifo vya kufikirika! Ni kweli vifo vipo na serikali inavitangaza kama vikmetokea hospitalini. Tatizo waMbowe wanatia chumvi sana!Nakuomba acha kuongea hii kauli unaumiza wafiwa ambao wamefariki na corona naomba ufute hii kauli kumbuka Mungu yupo na anaona viumbe wake wote ulimwenguni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unashindwa kuelewa hata jibu langu?Mkuu haihitaji akili yoyote ya kutumia kutambua kuwa kwetu wamefanya haya yaliyoorodheshwa. Haya ni baadhi tu yapo mengi zaidi.
Kwani ni siri?
Au sasa ndiyo wamekutuma kuja kujaribu kutuaminisha vinginevyo kama yule Profesa wa jalalani anavyojaribu kufanya?
Lipi ambalo your enviable president hajafanya?
1. Nchini mwake anaficha updates za waathirika wa Corona.
2. Amekimbia ikulu zake Dodoma na Dar ambako officially anapaswa kuwa.
3. Ametutaka kujikita kwenye maombezi, mitishamba na kufuka nyungu.
4. Anakimbia simu za marais wenzake.
5. Badala ya kupima watu amekuwa akipima mbuzi, kondoo, mapapai, oil nk, pia.
6. Nchini mwake Corona imebatizwa jina kuwa changamoto za kupumua.
7. Nchi hii majirani zetu wanatufungia mipaka yao.
8. Anashutumiwa na marafiki zake kuwa hashauriki.
9. Nk nk
Ukipenda boga penda na maua yake. Hayo ndiyo maua ya rais wetu kipenzi JPM.
Mbona unashindwa kuelewa hata jibu langu?
Nimekwambia yote hayo kayafanya SO WHAT?
Asingefanya tungepata nini? hao ambao wamefanya wamepata nini walichotuzidi?
Nadhani Kenya wanatumia vipimo vya mabeberu! Haiwezekani wa Tz wakutwe na Coronavirus ugenini🤔🤔🤷♀️Wewe Waziri wa Afya kweli ni mwanamke unayejua uchungu wa mtoto? Kwenye janga hili la Corona unafuata muongozo upi ambao unaelekea kuiua Tanzania?
Tumechoshwa na habari za aina hii kila siku. Pia nikueleze kuwa tunachoshwa na madhila tunayoyaona huku mitaani. Hatujazoea kuishi na maiti sisi! Kama unaona huwezi kufuata mwongozo sahihi kuukabili huu ugonjwa basi ondoka ili tujue tutachukua hatua gani.
Umefikia hatua sasa unatukera waziwazi!