Kuna ripoti kuwa Machine za kupima Virusi vya Corona kutoka China zina matatizo makubwa, Sehemu nyingine watu wenye virusi vya corona wamepimwa na kuonekana hawana hata baada ya kupimwa mara sita. UK wameamua kuagiza machine mpya na kuwagharimu dola mil 20.
U.K. Paid $20 Million for New Coronavirus Tests. They Didn’t Work.
Indian na wao wamefanya uchunguzi na kukuta hazipimi vizuri.
Mfano:
Kule Rajasthan India waliwapima wagonjwa wenye corona na majibu yakaja negative.
Several Indian states said the Chinese tests had produced conflicting results.
Officials in Rajasthan state said the kits were initially used for testing patients who already had a confirmed infection for coronavirus but some results came back negative.
India stops rapid tests over China kit issues
Pia Uturuki, Uhispania na Jamhuri ya watu wa Czech wamelalamika kuuziwa machine mbovu
Coronavirus test kits withdrawn in Spain over poor accuracy rate
Utafiti uliofanywa na Derick Crook, profesa wa Microbiology kutoka hospitali ya John Radcliffe Hospital huko Oxford, UK wamegundua kuwa Katika kit tisa zilizofanyiwa utafiti, zimeonekana kuwa na ukweli wa 55%-70%. Maana yake ni hii, kwa kila watu 100 wenye corona 45 walionekana hawana au Katika kila watu 100 wasio na corona 45 walionekana wanao
-Mfano wa test kit ilivyotoa majibu feki kwa marehemu Rodger Zekirovski kule Macedonia
For several days in late March, North Macedonian citizen Rodzer Zekirovski had all the symptoms of COVID-19: a high fever, aching muscles, and a dry cough. But he couldn’t manage to get a lab test at a state hospital.
Instead, Zekirovski went for what seemed like a good alternative: a Dutch-made test — advertised by a private clinic as high quality — that could accurately detect the disease in mere minutes. Or at least that’s what he thought as he headed home from the clinic, relieved, with a negative test result.
Three days later, Zekirovski, 45, was dead. The official results from a subsequent test showed he had indeed been infected with SARS-CoV-2, the virus that causes COVID-19.
Zekirovski’s wife, Gjultena, said the false negative led his family to take risks that were, in hindsight, terrifying.
Uncertain Diagnosis: The Murky Global Market for Coronavirus Antibody Tests - OCCRP
Donald Trump ana wasiwasi kuwa China ilipanga ugonjwa uenee duniani kwa makusudi na kuahidi kufanya uchunguzi wa kina ili kuthibitisha madai yake.’
Maoni yangu
Yawezekana hawa wachina wametengeneza au kuachia kwa makusudi hivi virusi kuingia duniani ili wauze mashine feki za kupima Corona