Uchaguzi 2020 Namba 06: Aliyewahi kuwa Meya wa Jiji la Dar, Isaya Mwita amechukua fomu kuomba ridhaa kuwania Urais kupitia CHADEMA

Mpaka muda huu, Chadema haijapata hata mmoja mwenye sifa ya kupeperusha bendera kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya Uraisi,

Wote walioomba wanafurahisha genge tu, Ila wote hawafai, sio kwamba hawafai tu katika nafasi hiyo Ila hawafai pia hata kwenda kuchukua hizo fomu za uraisi mahali popote kwenye Chama makini!!

Ukweli mchungu
 
Lisu huko aliko atatamani kuangua kilio alikuwa aki ji overstate kuwa yeye ndio yeye hakuna mwingine hiyo nafasi ona sasa watu kibao wanainuka.Meseji sent kwake
CCM tulieni sindano za Lissu ziingie, tafadhali.
 
Mwita mjanja sana. Huyu wameshamtuhumu kuwa ni msaliti na si mmoja wa wanounda ngome au upande wa mwenyekiti.
Mwita anajua fika kuwa hawezi kupita ila hii ndio njia ya kutokea ili aachane na cdm kwa usalama na kutogombea nafasi yoyote wala kwenda ccm. Ongera na kila la kheri kwake.
 
Tangu TAKUKURU watinge UFIPA zinatolewa bure!

Ushauri. Ni vyema sasa ubadili hiyo avatar. Imeshamaliza kazi ya kutufikishia kinyaa cha kisiasa. Aidha, mlengwa wake “keshajirekebisha” muda kitambo sasa. Si vyema, kibinadamu, “aibu” aliyokusudiwa iendelee kukumbushwa. Ameshadhalilishwa vya kutosha.
 
Kwani hawa viongozi wa CDM nafasi ya Urais wa Jamhuri wameionaje. Kama kutoka Sinza madukani kwenda Club Ambiance au?

Waache kuivunjia heshma hii ofisi ya 60m heads + it's blessed natural resources.
Kama Magufuli ameweza na mnampamba kila siku basi hata Dr Shika agombee tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…