31Hivi aliyebeti alisema wangapi ?
Ni jambo jema!
Kwani hawana uhalali wa kugombea? Au katiba haiwaruhusu?Dawa pekee ya kuondoa Makundi ni kuwaengua watoto wote wa viongozi wastaafu
tunaondoa mpasukoKwani hawana uhalali wa kugombea? Au katiba haiwaruhusu?
tunaondoa mpasuko
ni mchakato tu kama uliowaondoa Membe na Lowassa tuHauoni kuwa utawanyima haki yao ya kikatiba?
Ndio demokrasia?Dawa pekee ya kuondoa Makundi ni kuwaengua watoto wote wa viongozi wastaafu
Kwa mujibu wa duru za kuaminika hao watakuwa 32 Kama ilivyopangwa.Hivi aliyebeti alisema wangapi ?
Rais Amani Amani Abeid Karume anasema moja ya alama kubwa alizozipigania Sheikh Aboud Jumbe rais wa Pili ni Baraza la Wawakilishi linaloamua mambo mengi kwa maslahi ya wazanzibari na historia ya taifa hilo la Zanzibar.https://www.upi.com › 1984/01/29
Tanzanian Vice President Aboud Jumbe resigned Sunday from all... - UPI.com
29 Jan 1984 · State-run radio gave no reasons for the resignation of Jumbe, president of the former sultanate of Zanzibar, but the
Mussa Aboud Jumbe ni mdau mkubwa wa kupigania masuala ya bahari na rasilimali zake. Amehudumu kama Mkurugezi wa Idara ya Samaki wa Serikali ya SMZ katika Wizara ya muhimu ya Maji, Ardhi / Makazi, Nishati, Mazingira na labda atakuwa na maono kama ya baba yake marehemu Sheikh Jumbe.www.theeastafrican.co.ke
Zanzibar mourns the advocate of three-tier system of government
20 Aug 2016 · The death of former Zanzibar president Aboud Jumbe Mwinyi comes at a time ... Vice-president steps down
Sawa lakini bado majina mawili ya watoto wa Kombo na Yusuf HimidDawa pekee ya kuondoa Makundi ni kuwaengua watoto wote wa viongozi wastaafu