Namba 6 ishafika mjini..

Namba 6 ishafika mjini..

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Habari zenu..
Simba wamesema leo watatawanya bahari kwa wachezaji watakao watambulisha.
Ina maana ni wachezaji wanzuri,sasa simba wajiandae kisaikolojia vinzuri maana yanga watatambulisha namba 6 yao itakuwa boom kwa simba.

Hao wachezaji wa 3 wa simba watafunikwq na mchezaji namba 6 wa yanga.
Namba 6 ipo mjini na ishamalizana na yanga uwiiiiiii uwiiiiii uwiiiii linakufa jitu
 
Habari zenu..
Simba wamesema leo watatawanya bahari kwa wachezaji watakao watambulisha.
Ina maana ni wachezaji wanzuri,sasa simba wajiandae kisaikolojia vinzuri maana yanga watatambulisha namba 6 yao itakuwa boom kwa simba.

Hao wachezaji wa 3 wa simba watafunikwq na mchezaji namba 6 wa yanga.
Namba 6 ipo mjini na ishamalizana na yanga uwiiiiiii uwiiiiii uwiiiii linakufa jitu
mwaka jana injinia aliwategeshea sawadogo makolo wakajaa,mwaka huu kawategeshea tena fabrice mdundiko hao mambumbu wamejaa tena😀😎
 
Habari zenu..
Simba wamesema leo watatawanya bahari kwa wachezaji watakao watambulisha.
Ina maana ni wachezaji wanzuri,sasa simba wajiandae kisaikolojia vinzuri maana yanga watatambulisha namba 6 yao itakuwa boom kwa simba.

Hao wachezaji wa 3 wa simba watafunikwq na mchezaji namba 6 wa yanga.
Namba 6 ipo mjini na ishamalizana na yanga uwiiiiiii uwiiiiii uwiiiii linakufa jitu
Kama azizi
 
Napenda...Hapo Mayele anamaanisha anataka aongezewe mzigo na Yanga zaidi ya ule wa waarabu...wakishindwa aachwe aende kwenye pesa nyingi
Ana mkataba na yanga mpaka 2024 na huenda akaongezewa Tena mkataba
 
Back
Top Bottom